BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Mnasikiliza madj wa jembe fm lakin?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Janda umewaza nn mpaka ukafufua huu uziDj Fast Edy
Dah! mkuu umenifanya nicheke sana.Kuna yule DJ wa ukawa mbona mmemsahau?
DJ Drill wa Kill fm ipo moshi sijui bado yupo
Hahaha... Siyo Dr Dre wa Marekani.... Dj drill kama sikosei... Ww utakua ulianza kuiskiliza hiyo radio juziAcha ubwege wewe Dj anatoka moshi?
HatarMnasikiliza madj wa jembe fm lakin?
HatarMnasikiliza madj wa jembe fm lakin?
Katika ma DJ wote Tanzania wanaopiga kwenye radio nyimbo za flash back hamna anaye mfikia DJ maliz jamaa anajua sana kupangilia ngoma,sasa hivi sijui huko wapi?Dj Jeff Jerry, Dj Maliz, Dj Simba, Dj Devi. Hakuna madj kama hao tena popote
Kweli kabisa,DJ maliz Namba mojakwel mkuu nafikirh hii n kasumba t imejengeka kuwa dj's wazur wapo Dar t ktu ambacho sio kwel,m naamin ktk station za radio zote bongo hakuna kituo chenye team nzuri yamadj wakal zaid ya kiss fm mwanza dah jmaa wakal sn hao kna dj maliz,ray,simba,jeffjerry na aleco