Hawa ndio MaDj wakali zaidi Tanzania

Dj Mafuvu
Dj Zero
Dj Mubbah

Hawa ndio ma dj wangu bora duniani ukimtoa Dj Khaleed
Huyo Khaled weko ni cha mtoto pia makelele na mayoe ya bangi ndo yanamfanya mumtolee macho kuwa ni mkali.. Wakat kuna Djz wanoma na wakali kama Dj Doug. E Fresh, Dj Master Flex, Dj Premier, Dj Scrutch, Dj Envy, Dj Drama and many more..
 
Huyo Khaled weko ni cha mtoto pia makelele na mayoe ya bangi ndo yanamfanya mumtolee macho kuwa ni mkali.. Wakat kuna Djz wanoma na wakali kama Dj Doug. E Fresh, Dj Master Flex, Dj Premier, Dj Scrutch, Dj Envy, Dj Drama and many more..
hao wengine ata siwafaham mkuu, ngoja niwafatilie aisee
 
Ukiacha kuweka play list nzur ya muzik,hv steve b ana sifa gan za zaid il na yy tumfanye km reference ya dj wakal bongo? nionavyo mm steve b anafunikwa mno na dj d ommy kwa sasa
Dj d ommy ndo dj bora kwa sasa bongo hii,kwenye kizazi hiki..jamaa anajua kumix kweli kweli
 
Kwa bongo Dj mafuvu, ila mbele namkubali Dj Premier na pia ni Producer moja ya biti ninayoipenda aliyoitengeneza ni ya wimbo wa Animals ya Dr dree ft Anderson paak, kutoka ktk album ya Dr dree straight outta Compton , bonge la biti.
 
Mmmmh! Sijaona
Petter Mo hapo! Huyu Jamaa Nouma sana
Tatizo lenu mnachanganya mahaarage na njugu mawe. Ni kweli isiyo pingika,zote ni mboga ila hazifanani na mapishi yake ni tofauti sana.
 
Huwa naenda klabu Mara moja moja huwa nasikia nyimbo za aina moja tu ( bongo flavor )mpaka inakera
 
Dj Exclusive
Dj Khaleed
Dj Neptune
Dj Dreka ndio ma dj bora kwangu.
 
Namkumbuka sana DJ JD mtaa wa mangoma pale redio one kila jmamos asubuhi hv mpaka mchana, miaka ya 2000 mwanzoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…