Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Ndio huyu amekulia kwamrefu jirani na cet garden bar halafu tsere hakua na makuu sasa stunna anakuja n ngonjera zake kua wa kishua
Namfahamu Sana Tsere halafu najiuliza huo ushua wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio huyu amekulia kwamrefu jirani na cet garden bar halafu tsere hakua na makuu sasa stunna anakuja n ngonjera zake kua wa kishua
So what..!
Namfahamu Sana Tsere halafu najiuliza huo ushua wake
Aicc heka ipo sana sema mzee alikua anaishi kawaida 2 pia binti zake nao hawakua n makuu
Pale wengi wanakuaga alosto tu coz hela zenyewe za msimu....
Ila nawashangaa wabongo ushua wanautafsiri vipi MTU anaishi kikawaida tu wanabandika mabango...
Nasie wazee wetu walioanzia kwenye umeneja NMC hadi ukatibu mkuu Wa wizara tusemeje??
Maana bado najiona maskini tu...
Huyo lucci kakulia arusha hiyo obey ameijua akiwa na miaka 20 mana walihamia dar 2006 baba yke alipoteuliwa kua dc,huyo nisha nae walewale 2007 baba yake alikua na ki celica kibovu ndio dogo alikua anaendesha mitaa y kisongo maisha yao yameanza badilika 2010 so sio wa kishua huyo
Lucci kasoma FEZA BOYS' mkuu huyu dogo wa kishua kaka
Kumbe Kuna watu bado wanawababaikia watoto wa kishua?
hata laki si pesa nae ni mtoto wa kishua baba alikua balozi marekani ila amesha staafu yupo kijijini namtumbo.
Nature katusua mjomba,ana nyumba kama tano dsm,ana mashamba kibao kanunua analima.
Wazazi washua au walioenda shule .Mkuu
Upo sahihi nadhani mtoto ambaye ameibuka toka familia maskini anahitaji pongezi zaidi kwani tunajua hawa watoto wengine wanavyobebwa na majina makubwa ya familia wanazotoka.
Hujamweka Gk ww umekalilishwa