Hawa ndio mastar wa 5 wa bongo ambao wametoka familia za kishua

Hawa ndio mastar wa 5 wa bongo ambao wametoka familia za kishua

Haha hata mimi ni mtoto wa kishua, nimezaliwa na wazazi wangu pale home kishumndu, nimesoma shule ya kushua pale kishumundu, nimesafiri sehemu mbali mbali sana
Nimeshangaa wakati nataka niandime na mimi wa kishua ila sio celebrity na nishasepaga maskani naishi kama mim ndio naona nawe ulishaanima maqazo yako ambayo kana yangu ahahaha.....haya mi nilimuwa wa kishua nimesoma shule ya msingi aliyosoma navy kenzo mmoja...jokate...q chief.....j sisters.........nabaelexa tu ila sio tajiri aisee ahaha
 
Kuna Mc mkubwa sana mmemsahau nayeye alikuwa mtoto wa mmoja wa wakurugenz Tanesco. Marehem Kimario.
 
twenty percent mmemsahau[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna mmoja umemsahau....

le-mutuz-jpg.191021
 
Huyo lucci kakulia arusha hiyo obey ameijua akiwa na miaka 20 mana walihamia dar 2006 baba yke alipoteuliwa kua dc,huyo nisha nae walewale 2007 baba yake alikua na ki celica kibovu ndio dogo alikua anaendesha mitaa y kisongo maisha yao yameanza badilika 2010 so sio wa kishua huyo
We unaijua Arusha au..?
 
JUMBA LA MSHUA WAKE NISHER NI BALAA AISEE... SIJAWAHI ONA DUDE KAMA LILE CHAAAAA
Wafuasi wa Nabii Mkuu, Dr. , Prof, Baba, Mtukufu, Mkuu wa Manabii, Mheshimiwa Geor Davie wanaita Ni Ikulu ya Mbinguni
 
Back
Top Bottom