Hawa ndio matajiri wakubwa 10 bora katika soko la hisa Tanzania,

Hawa ndio matajiri wakubwa 10 bora katika soko la hisa Tanzania,

Nimekuwekea list ya matajiri wakubwa 10 bora katika soko la hisa Tanzania. Matajiri wenye hisa nyingi kwenye makampuni makubwa Tanzania.

Katika top 10. Weusi wapo wanne tu

6 waliobaki wote ni weupe.

1. Patrick Schegg

Net worth on the DSE: $23.5-million / 57,598,500,000 Tshs/=

Holdings: NMB Bank PLC, CRDB Bank PLC


2. Aunali Rajabali

Net worth on the DSE: $23.4-million / 57,353,400,000 Tshs/=

Holdings: NMB Bank PLC


3. Sajjad Rajabali

Net worth on the DSE: $23.4-million / 57,353,400,000 Tshs/=

Holdings: NMB Bank PLC


4. Hans Macha

Net worth on the DSE: $6.4-million / 15,686,400,000 Tshs/=

Holdings: CRDB Bank


5. Ernest Massawe

Net worth on the DSE: $5.3-million / 12,990,300,000 Tshs/=

Holdings: TOL Gases Limited

6. Murtaza Nasser

Net worth on the DSE: $2.7-million / 6,617,700,000 Tshs/=

Holdings: Tanzania Portland Cement
.

7. Sayed Kadri

Net worth on the DSE: $2.1-million / 5,147,100,000 Tshs/=

Holdings: Tanzania Portland Cement, Swissport Tanzania, Tanzania Cigarette Public Limited


8. Said Bakhresa

Net worth on the DSE: $1.5-million / 3,676,500,000 Tshs/=

Holdings: Tanzania Portland Cement

9. Arnold B.S Kilewo

Net worth on the DSE: $1.1-million / 2,696,100,000 Tshs/=

Holdings: 5.68-percent of TOL Gases, 0.013-percent in Tanzania Breweries

10. Harold Temu

Net worth on the DSE: $$720,000
1,764,720,000 Tshs/=

Holdings: TOL Gases.

>> SOURCE / CHANZO <<
Halafu hao weusi wote wanatoka Kilimanjaro.
Hivi kwanini Magufuli alikuwa na hasira sana na hawa watu?
 
Mbona mitaji yao kama ya kawaida sana! Dola milioni moja na kitu na mwingine Dola laki saba! Ina maana hakuna wakinga,wapemba,wasukuma au waha wenye uwezo wa kununua hizo hisa kwa mjibu wa mKUU WA MKOA WA Njombe Antony Mtaka?
teh teh teh Mitaj hiyo ni yakawaida eeeh?
Umejaribu kuConvert hizo ela kuja hapa Tanzania ukajua ni sh ngapi ndugu.
Wote hao wamewekeza kuanzia Bilion Moja na Mamilion na ushee hivyo ni watanzania wachache sana ambao wanaweza uthubutu wa kuweka hizo ela kwenye soko la hisa
 
Lengo lilikuwa kuwataja wachaga wenzio,endelea kushabikia wanaume wenzako ila muda hausimami!
 
Back
Top Bottom