Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Wachaga ni Hatari Sana.
Watani mnatisha
Watani mnatisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni priority baba! Haimaanishi hamna watu wenye zaidi ya hizo!Mbona mitaji yao kama ya kawaida sana! Dola milioni moja na kitu na mwingine Dola laki saba! Ina maana hakuna wakinga,wapemba,wasukuma au waha wenye uwezo wa kununua hizo hisa kwa mjibu wa mKUU WA MKOA WA Njombe Antony Mtaka?
Watani zako wamefuta aibu!Wachaga ni Hatari Sana.
Watani mnatisha
Halafu hao weusi wote wanatoka Kilimanjaro.Nimekuwekea list ya matajiri wakubwa 10 bora katika soko la hisa Tanzania. Matajiri wenye hisa nyingi kwenye makampuni makubwa Tanzania.
Katika top 10. Weusi wapo wanne tu
6 waliobaki wote ni weupe.
1. Patrick Schegg
Net worth on the DSE: $23.5-million / 57,598,500,000 Tshs/=
Holdings: NMB Bank PLC, CRDB Bank PLC
2. Aunali Rajabali
Net worth on the DSE: $23.4-million / 57,353,400,000 Tshs/=
Holdings: NMB Bank PLC
3. Sajjad Rajabali
Net worth on the DSE: $23.4-million / 57,353,400,000 Tshs/=
Holdings: NMB Bank PLC
4. Hans Macha
Net worth on the DSE: $6.4-million / 15,686,400,000 Tshs/=
Holdings: CRDB Bank
5. Ernest Massawe
Net worth on the DSE: $5.3-million / 12,990,300,000 Tshs/=
Holdings: TOL Gases Limited
6. Murtaza Nasser
Net worth on the DSE: $2.7-million / 6,617,700,000 Tshs/=
Holdings: Tanzania Portland Cement
.
7. Sayed Kadri
Net worth on the DSE: $2.1-million / 5,147,100,000 Tshs/=
Holdings: Tanzania Portland Cement, Swissport Tanzania, Tanzania Cigarette Public Limited
8. Said Bakhresa
Net worth on the DSE: $1.5-million / 3,676,500,000 Tshs/=
Holdings: Tanzania Portland Cement
9. Arnold B.S Kilewo
Net worth on the DSE: $1.1-million / 2,696,100,000 Tshs/=
Holdings: 5.68-percent of TOL Gases, 0.013-percent in Tanzania Breweries
10. Harold Temu
Net worth on the DSE: $$720,000
1,764,720,000 Tshs/=
Holdings: TOL Gases.
>> SOURCE / CHANZO <<
Watani zako wamefuta aibu!
UshambaHalafu hao weusi wote wanatoka Kilimanjaro.
Hivi kwanini Magufuli alikuwa na hasira sana na hawa watu?
teh teh teh Mitaj hiyo ni yakawaida eeeh?Mbona mitaji yao kama ya kawaida sana! Dola milioni moja na kitu na mwingine Dola laki saba! Ina maana hakuna wakinga,wapemba,wasukuma au waha wenye uwezo wa kununua hizo hisa kwa mjibu wa mKUU WA MKOA WA Njombe Antony Mtaka?
Sema wachaga na siyo watanzania weusi. Hongera yaoWatanzania weusi waliomo
4. Hans Macha
5. Ernest Massawe
9. Arnold B.S Kilewo
10. Harold Temu
Itakuwa wivu!Halafu hao weusi wote wanatoka Kilimanjaro.
Hivi kwanini Magufuli alikuwa na hasira sana na hawa watu?