Hawa ndio members Bora wa hili jukwaa la MMU

Kwahiyo wanaume wote wa jf Dua Zenu zote nife mapema kabla yenu muoe mke wangu? Mbona mke wa Nyerere,mwingi,mkapa na JPM wote Bado hai na Wana ukwasi wakutosha wanakula pensheni tu kwanini msiwape kipaumbele hao kwanza?

😂😂😂
 
Kwahiyo wanaume wote wa jf Dua Zenu zote nife mapema kabla yenu muoe mke wangu? Mbona mke wa Nyerere,mwingi,mkapa na JPM wote Bado hai na Wana ukwasi wakutosha wanakula pensheni tu kwanini msiwape kipaumbele hao kwanza?

[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa Hilo jina lako it seems mkeo ana tu vitu special special
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…