Hawa ndio Members wa JF wenye contents katika nyanja mbalimbali

Shaadeya, Frank Wanjiru- Yanga lialia
Okwi Boban Sunzu+ Forteza- Nyau Fc Lialia
Erchcocyte (sina hakika na spelling)+BAK+Sky Eclat-Chadema lialia
Victoire- Haeleweki
Magonjwa Mtambuka, Eltwege, Jane Lowasa- Ccm lialia
Chizi Maarifa- mpenda sket
Kitoabu- Man U lialia
Gentycmycine- Misifa boy
 
Yule ni debe tupu,sijui huwa anamkubali kwa lipi? Kwa story za kujifanya mganguzi,sijawahi kubaliana wala kumuelewa huyu debe tupu Mshana Jr

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
😲😲😲
Kwangu ni mmoja ya watu walionifanya nijiunge JF. Kutokana na nyuzi zake maridhawa except nyuzi za ulozi🤣
 
Pdidy ana mwandiko mbaya sana aisee, cha kushangaza ukimkosoa wadau wanakujia juu eti kwa nini unakosoa mwandiko wa Pdidy😀😀😀
 
Kama wafuatao hawapo hiyo list Ni feki.
1. Kitoabu
2. Sky eclat
3. Bushmammy
4. Mamndenyi
5. LwandaMagere
6. Extrovert
7. Zero IQ
8. KIDUKU LILO
9. CHIZI MAARIFA
 
Saafi
 

[emoji23] big up sana mkuu huwa tunapishana huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…