GedsellianTz
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,348
- 1,805
Nimewakumbuka sana THE BOLD na ONTARIO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Pdidy ana mwandiko mbaya sana aisee, cha kushangaza ukimkosoa wadau wanakujia juu eti kwa nini unakosoa mwandiko wa Pdidy[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna watu hatuna bahati maishani
Nmeitwa mbwa huko
Na bado huku hata hatutajwi...
Tutajeni hata kwenye masebene basi
Kumbe! Sikuwa najua hili asee.Wengi wanaomtetea ni mabingwa wa kubeti ingawa pia na wakongwe wanaopenda style yake. Ukienda nyuzi za kubeti wanamkubali sana na ana heshima kule kuliko hata wamiliki wa JF.
Umenisahau Boss Mapank hapaHawa ni baadhi ya member wenye Contents nyingi sana kwenye baadhi ya nyanja za maisha, kunaweza kukawa na wengine ila hawa ndio nime wang'amua kwa.
Vigezo nilivyotumia
1) KuSpecilze nyanja fulani
2) Kuandika Contents zilizo na information nyingi na details za kutosha.
3) Kubeba maono
Wyatt Mathewson
Huyu content za kibabe (Capitalist) zenye maono sana ukiisoma misimamo ya huyu inakujenga kuwa strong sana kwenye masuala ya uchumi na maisha.
Nafaka
Huyu ana Content zinazohitajika dunia ya sasa, kwenye Content za Online Money Making, Content za maisha ya kiuchumi na mambo ya pesa kiujumla contents nyingi.
GLOBAL CITIZEN
Huyu ndio Father WA Online Business, ana contents zenye ujazo Sana na anaamini kama upo good kwenye kitu fulani usifanye for free.
C.T.U
Huyu Contents zinazohusu Startup, Online Software, Kampuni zenye mlengwa wa Silicon Valley yupo vizuri sana, yupo vizuri kwenye Calculation za namba Za projects.
Mwl.RCT
Moja katika watu wanaoheshimika sana, kwenye nyanja ya online shopping na uwanda mzima wa online Business.
Chief-Mkwawa
When it come to technology mambo ya hardware na software simu na computer huyu mwisho, anaelezea simu vikarabwasha mpaka unajiona mweupe, He is Search Engine at that area. Tukizungumzia ujazo wa details huu mfano mahsusi.
T14 Armata
Huyu haja-base kuanzisha nyuzi contents zake utaziona kwenye reply zake na content nyingi sana za masuala kijeshi, Biashara na mtu aliye Update sana na kinachoendelea Duniani.
Da'Vinci
Huyu ni konyo sijui anaishi vipi kama Content huyu bwana ni maktaba, anasoma sana huyu jamaa.
Habibu B. Anga
Huyu ndio Father of Content jukwaani.
Hawa wanaeleza kitu in details, numbers na mifano ukifuatilia nyuzi aunt reply zao zimeshiba contents.
Wengine nimewasaau nitawaweka.
Duh.Sijamuona mwanangu Magonjwa Mtambuka
Zamani alkuwa na kauli yke moja anakwambia
Bng---oaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mkuu usiumie sana, maana hata yeye hayupo kenye hii list.Kwahiyo mimi mnaniona ni kilaza tu humu sio?..Aya bana sawa.
Kweli mtu akimuona huyo mdini Mohamed Said mtu wa maana anatakiwa akapimwe akili si bureMshana? Huyu yupo level za Mohamed said wewe
Aachane na kujiona ana uwezo kuliko mtu yeyote, kutafuta sifa kwa mabinti ili apate k za dezo na show offShida ya mshana ni mwanasiasa ,akiachana na usiasa ni jamaa alive vema sn,na anapenda watu wajue,Habibu Anga(The Bold) ni Best over the best,yeye amebase kutoa kisichofikiriwa na wengi .Big up
Mshana Jr anachukiwa na makada . Ukiona waliomuongelea vibaya ni wale anaowaitaga "mataga"[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kwa sababu ana mlengo wa siasa za upinzani au
[emoji16][emoji16][emoji16]aiseeHuyo hakuna lolote,
Umensahau PRONDO kwenye magari na mshanajr kwenye ulimwengu wa gizaHawa ni baadhi ya member wenye Contents nyingi sana kwenye baadhi ya nyanja za maisha, kunaweza kukawa na wengine ila hawa ndio nime wang'amua kwa.
Vigezo nilivyotumia
1) KuSpecilze nyanja fulani
2) Kuandika Contents zilizo na information nyingi na details za kutosha.
3) Kubeba maono
Wyatt Mathewson
Huyu content za kibabe (Capitalist) zenye maono sana ukiisoma misimamo ya huyu inakujenga kuwa strong sana kwenye masuala ya uchumi na maisha.
Nafaka
Huyu ana Content zinazohitajika dunia ya sasa, kwenye Content za Online Money Making, Content za maisha ya kiuchumi na mambo ya pesa kiujumla contents nyingi.
GLOBAL CITIZEN
Huyu ndio Father WA Online Business, ana contents zenye ujazo Sana na anaamini kama upo good kwenye kitu fulani usifanye for free.
C.T.U
Huyu Contents zinazohusu Startup, Online Software, Kampuni zenye mlengwa wa Silicon Valley yupo vizuri sana, yupo vizuri kwenye Calculation za namba Za projects.
Mwl.RCT
Moja katika watu wanaoheshimika sana, kwenye nyanja ya online shopping na uwanda mzima wa online Business.
Chief-Mkwawa
When it come to technology mambo ya hardware na software simu na computer huyu mwisho, anaelezea simu vikarabwasha mpaka unajiona mweupe, He is Search Engine at that area. Tukizungumzia ujazo wa details huu mfano mahsusi.
T14 Armata
Huyu haja-base kuanzisha nyuzi contents zake utaziona kwenye reply zake na content nyingi sana za masuala kijeshi, Biashara na mtu aliye Update sana na kinachoendelea Duniani.
Da'Vinci
Huyu ni konyo sijui anaishi vipi kama Content huyu bwana ni maktaba, anasoma sana huyu jamaa.
Habibu B. Anga
Huyu ndio Father of Content jukwaani.
Hawa wanaeleza kitu in details, numbers na mifano ukifuatilia nyuzi aunt reply zao zimeshiba contents.
Wengine nimewasaau nitawaweka.
Utakua mchawi wew....comment ya kichawi kabisaYule ni debe tupu,sijui huwa anamkubali kwa lipi? Kwa story za kujifanya mganguzi, sijawahi kubaliana wala kumuelewa huyu debe tupu Mshana Jr
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
TOP THREE YANGU NI HIIHawa ni baadhi ya member wenye Contents nyingi sana kwenye baadhi ya nyanja za maisha, kunaweza kukawa na wengine ila hawa ndio nime wang'amua kwa.
Vigezo nilivyotumia
1) KuSpecilze nyanja fulani
2) Kuandika Contents zilizo na information nyingi na details za kutosha.
3) Kubeba maono
Wyatt Mathewson
Huyu content za kibabe (Capitalist) zenye maono sana ukiisoma misimamo ya huyu inakujenga kuwa strong sana kwenye masuala ya uchumi na maisha.
Nafaka
Huyu ana Content zinazohitajika dunia ya sasa, kwenye Content za Online Money Making, Content za maisha ya kiuchumi na mambo ya pesa kiujumla contents nyingi.
GLOBAL CITIZEN
Huyu ndio Father WA Online Business, ana contents zenye ujazo Sana na anaamini kama upo good kwenye kitu fulani usifanye for free.
C.T.U
Huyu Contents zinazohusu Startup, Online Software, Kampuni zenye mlengwa wa Silicon Valley yupo vizuri sana, yupo vizuri kwenye Calculation za namba Za projects.
Mwl.RCT
Moja katika watu wanaoheshimika sana, kwenye nyanja ya online shopping na uwanda mzima wa online Business.
Chief-Mkwawa
When it come to technology mambo ya hardware na software simu na computer huyu mwisho, anaelezea simu vikarabwasha mpaka unajiona mweupe, He is Search Engine at that area. Tukizungumzia ujazo wa details huu mfano mahsusi.
T14 Armata
Huyu haja-base kuanzisha nyuzi contents zake utaziona kwenye reply zake na content nyingi sana za masuala kijeshi, Biashara na mtu aliye Update sana na kinachoendelea Duniani.
Da'Vinci
Huyu ni konyo sijui anaishi vipi kama Content huyu bwana ni maktaba, anasoma sana huyu jamaa.
Habibu B. Anga
Huyu ndio Father of Content jukwaani.
Hawa wanaeleza kitu in details, numbers na mifano ukifuatilia nyuzi aunt reply zao zimeshiba contents.
Wengine nimewasaau nitawaweka.