Hawa ndio Members wa JF wenye contents katika nyanja mbalimbali

Unachuki binafsi na Pascal Mayalla nililijua siku nyingi.
 
Sijamuona Babumawe apo! Waziri wa ngono na viwanda vya mapenzi!
 
Pdidy ana mwandiko mbaya sana aisee, cha kushangaza ukimkosoa wadau wanakujia juu eti kwa nini unakosoa mwandiko wa Pdidy[emoji3][emoji3][emoji3]
Wengi wanaomtetea ni mabingwa wa kubeti ingawa pia na wakongwe wanaopenda style yake. Ukienda nyuzi za kubeti wanamkubali sana na ana heshima kule kuliko hata wamiliki wa JF.
 
Mnajioooona mkuu juuu,kumbe hamna kitu,mnatajiana kwa kujuana,

Wote hao uliowataja hamna kitu,ni empty set
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…