Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Mtembeyi acha njaa.Na mimi hivyo hivyo nikiona ID yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtembeyi acha njaa.Na mimi hivyo hivyo nikiona ID yako.
Tuna ndugu zako wa karibu humu ujue 😂😂😂😂Kipigo cha mwandiko hata hakiumi
Mimi humu ni yatima niliyekulia kituoni hao ndgu zangu wametokea wapi?Tuna ndugu zako wa karibu humu ujue 😂😂😂😂
😂😂😂😂 Huyo ndo wale wale..Mie mpole sanaaa, Kapeace Shahidi
Wapi huko????😂😂😂😂😂😂😂 Huyo ndo wale wale..
Juzi alitibua watu kule nusu nusu wampige .....
Wewe ni vile unajificha jificha
Kuna watu wanakujua humu A to Z...Mimi humu ni yatima niliyekulia kituoni hao ndgu zangu wametokea wapi?
Jifanye umesahau....Wapi huko????😂😂😂
Kina nani hao!! Wanaonijua kwa kujificha ficha??Kuna watu wanakujua humu A to Z...
Ndio mana nikakuonya jana...😂😂😂
Bado hamjasema,Jifanye umesahau....
Watu walikua serious alafu wewe unaleta habari zako
😂😂😂😂
Shindikana naomba nisamehewe🤣Shindikana mwanasheria wangu atakutafuta soon🤣
Wananichafua tu hawa watoto wa afumbili🤣🤣Tena wakuache cha upole wake shem wangu,😅😅
Watakuwezea wapi legendWananichafua tu hawa watoto wa afumbili🤣🤣
Watu walipita kimya kimya ilaa..,😂😂😂😂😂😂Bado hamjasema,
Hapana shindikana, huwezi kucheka ninapopewa tuhuma nzito namna hiyo. Wakati wewe ni shahidi jinsi nilivyo mpole.Shindikana naomba nisamehewe🤣