Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mimi sipangiwi maisha ujueee πππππKijana kijana kijana nimekuita mara tatu ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sipangiwi maisha ujueee πππππKijana kijana kijana nimekuita mara tatu ππππ
hebu leo funguka,ambia watu mimi ndo yule mshangazi wako unamfungulia nyuzi kila sikuMimi sipangiwi maisha ujueee πππππ
Mshangazi wa hovyooo haijawi tokea.... πππππππhebu leo funguka,ambia watu mimi ndo yule mshangazi wako unamfungulia nyuzi kila siku
Mi sitaki kuona hiyo mishangazi πnikiteleza sana labda marafiki zakoOooh nimefurahi kukuona. Nikajua mishangazi ya k.koo ishakuficha!!
Marafiki zangu wazeeπ€£Mi sitaki kuona hiyo mishangazi πnikiteleza sana labda marafiki zako
tatzo n mshangazi mrembo bwan πMshangazi wa hovyooo haijawi tokea.... πππππππ
Kila siku mi nanyanyaswa tyuuu
Roho inauma jameniiii
Bas ngoja nideal na Hawa waliozaliwa 2005 maana hii mibibi ya 2000 ishakua old fashionMarafiki zangu wazeeπ€£
Mshangazi una hatareee wewe...tatzo n mshangazi mrembo bwan π
So sadHuu mwaka nimeshiriki Sanaa hakuna siku ambayo sijawa Jf .
Hata kama sijatajwa popote [emoji123][emoji123]
raraa reree
Half american
mshamba_hachekwi
Gily Gru
Wapo wengi Sanaa sanaa
Mpaka apatikane wa kunituliza ndo nitawaacha wana wa AdamuKafujo za kwako
Awe anapumua tuWeka vigezo tuchukue jimbo π
unapenda vya gizani,hebu huku huku ndo kuzuriMshangazi una hatareee wewe...
Njoo tuyajenge
Njoo bana π π πunapenda vya gizani,hebu huku huku ndo kuzuri
Ushapata la mama kazi kwako,ba mtoto hajambo...Awe anapumua tu
Bila Gentamycine list hii ni batiliWakuu Baada ya kufanya utafiti mwaka huu mzima kuhusu watu wenye mchango mkubwa hapa jf hatimaye nimekujana na generalization of findings
Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa jf
1 Labani og ...Huyu mwamba kama ingewezekana angekuwa analipwa tu na jf ..... mchango wake hapa jf ni extraordinary Kwani nimchambuzi wa soka, kwenye siasa ni mtu makini ... kwenye jukwaa la mahusiano ...yeye ni top advisor etc.....kikubwa huyu mwamba ni hatari
Extrovert ....ni mwamba mwenye akili mingi (genius) Baada ya Labani og ....ukiangalia contents zake zimeshiba madini....elimu na mambo mbalimbali ya kijamii
Nifah ....kulingana na utafiti wangu huyu mwanadada ni. Ameupiga mwingi mwaka huu Kwani unaweza sema yeye ni CIA, au mossad Kwan anapata classified Intel za ubuyu ambazo surely hua ni za ukweli
Tate Mkuu ...mwamba kaupiga mwingi kwenye upande wa futbol forum Kwa kuwa ni mtu ana comment Kila Uzi
Kalpana huyu ni member anayepitia maumivu makali Kila siku jukwaa la michezo kulingana ukindaki ndaki Kwa Simba ..ni kawaida kulala siku mbili bila kula kisa Simba [emoji23]
Robert Heriel Mtibeli ....mwamba sana huyu mwaka huu.....naweza mwita philosopher king wa jf .....mwamba anatoa madini mwanzo mwisho ...anaifanya jf kuwa kama Ile ya zamani kabla haija haribiwa na kina Mshangazi [emoji23][emoji23]
min -me ....jamaa katajwa sana adi nmeona aibu [emoji23][emoji23] name quote Poor Brain kwanza ni mtu wa heshima sana kiufupi ni mtu na heshima zake...
Japo ni mchambuzi wa nyuzi za maadili ila anapenda watoto.
min -me yuko vizuri kwny kuongelea vijana na harakati za maisha kwa njia ya unyenyekevu hasa kwny comments zake sema ana mahaba mno na na watoto wa 2000[emoji23][emoji23][emoji23]
To yeye mbeya girl popote ulipo ...mauwa Yako yakufikie Kwa ukubwa ,....kuwa miongoni mwa influencer wa jf mwaka huu
NB: research hii imefanyika mwaka huu mzima.....ikitumia participatory observation.... were as a researcher I was direct involved in study population.....where I watched everything happening there ( in JF)View attachment 3133955
Waweza ongezea mwingine ambaye kaupiga mwingi
πΉπΉπΉJina la BICHWA KOMWE liko wapi?
Mchango wangu ninaoutoa humu haujauona? Licha ya yote..... enhee..
Mmeamua kuchaguana wapiga umbea wote.... NASEMAAAJEEE hii orodha ninaipinga vikali.
Itabidi na sisi tuunde kaumoja ketu tujipakulie maminofu makubwa makubwaπΉπΉπΉ Kila mtu anakuja na list ya watu wake mahi, na kujipakulia minyama..!!
Mimi nakupa wewe na babu G π
Huo uzi utafungwa chap kwa mikoment ya makasiriko πΉπΉπΉItabidi na sisi tuunde kaumoja ketu tujipakulie maminofu makubwa makubwa
Mshana jr hayumo humu ndani ...!!Wakuu Baada ya kufanya utafiti mwaka huu mzima kuhusu watu wenye mchango mkubwa hapa jf hatimaye nimekujana na generalization of findings
Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa jf
1 Labani og ...Huyu mwamba kama ingewezekana angekuwa analipwa tu na jf ..... mchango wake hapa jf ni extraordinary Kwani nimchambuzi wa soka, kwenye siasa ni mtu makini ... kwenye jukwaa la mahusiano ...yeye ni top advisor etc.....kikubwa huyu mwamba ni hatari
Extrovert ....ni mwamba mwenye akili mingi (genius) Baada ya Labani og ....ukiangalia contents zake zimeshiba madini....elimu na mambo mbalimbali ya kijamii
Nifah ....kulingana na utafiti wangu huyu mwanadada ni. Ameupiga mwingi mwaka huu Kwani unaweza sema yeye ni CIA, au mossad Kwan anapata classified Intel za ubuyu ambazo surely hua ni za ukweli
Tate Mkuu ...mwamba kaupiga mwingi kwenye upande wa futbol forum Kwa kuwa ni mtu ana comment Kila Uzi
Kalpana huyu ni member anayepitia maumivu makali Kila siku jukwaa la michezo kulingana ukindaki ndaki Kwa Simba ..ni kawaida kulala siku mbili bila kula kisa Simba [emoji23]
Robert Heriel Mtibeli ....mwamba sana huyu mwaka huu.....naweza mwita philosopher king wa jf .....mwamba anatoa madini mwanzo mwisho ...anaifanya jf kuwa kama Ile ya zamani kabla haija haribiwa na kina Mshangazi [emoji23][emoji23]
min -me ....jamaa katajwa sana adi nmeona aibu [emoji23][emoji23] name quote Poor Brain kwanza ni mtu wa heshima sana kiufupi ni mtu na heshima zake...
Japo ni mchambuzi wa nyuzi za maadili ila anapenda watoto.
min -me yuko vizuri kwny kuongelea vijana na harakati za maisha kwa njia ya unyenyekevu hasa kwny comments zake sema ana mahaba mno na na watoto wa 2000[emoji23][emoji23][emoji23]
To yeye mbeya girl popote ulipo ...mauwa Yako yakufikie Kwa ukubwa ,....kuwa miongoni mwa influencer wa jf mwaka huu
NB: research hii imefanyika mwaka huu mzima.....ikitumia participatory observation.... were as a researcher I was direct involved in study population.....where I watched everything happening there ( in JF)View attachment 3133955
Waweza ongezea mwingine ambaye kaupiga mwingi