Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ongea kwa code hata akiingia hajui km wewe bana 😹😹😹Kuna siku badamu batamwagika, nimecheka ningesema kitu tatizo kuna wakaka wambea humu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongea kwa code hata akiingia hajui km wewe bana 😹😹😹Kuna siku badamu batamwagika, nimecheka ningesema kitu tatizo kuna wakaka wambea humu,
😹😹😹 Mzee wa kupunguza presha kwa PepsiSi ajabu uyo shem ananijua na usemi sio unamwambiaga nakunywa pepsi
Ahahah ach tu bhna hapa penye nishaharibu kazi presha ipo juaa nakunywa peps wapi😹😹😹 Mzee wa kupunguza presha kwa Pepsi
Ila Mwachi bana unanipaga burudani sana mdogo wangu 🤣
Si ulikuwa kambini wewe 😂Ahahah ach tu bhna hapa penye nishaharibu kazi presha ipo juaa nakunywa peps wapi
😹😹😹 waliniambia nimekengeuka nitachomwa moto siku ya kiama..
Ww unaanza kutoboa sir huna kifua kabisa n wewe ahahahahSi ulikuwa kambini wewe 😂
Ninunulie peps boss nakaribia kwenda mahabusuSi ulikuwa kambini wewe 😂
Kidemu changu kilokole kikilewa kina hubiri ( kwa sauti ya msaga sumu🤣)😹😹😹 waliniambia nimekengeuka nitachomwa moto siku ya kiama..
Walokole jau na wafia dini wengine wote, kazi yao kutisha watu..🤣
Hiv bro huwa unalalaga kweli maana wewe ni avaible mda woteKidemu changu kilokole kikilewa kina hubiri ( kwa sauti ya msaga sumu🤣)
Silali mkuu wangu nitalala siku nakufa 🤣🤣Hiv bro huwa unalalaga kweli maana wewe ni avaible mda wote
Pumzika kidogoSilali mkuu wangu nitalala siku nakufa 🤣🤣
Ahsante wa kwetu...
😹😹😹 Si uliweka uzi mwenyewe Mwachi lakini??Ww unaanza kutoboa sir huna kifua kabisa n wewe ahahahah
Sure wa kwetu 🥰🥰Ahsante wa kwetu...
😹😹😹 Umefanya nini kwani?Ninunulie peps boss nakaribia kwenda mahabusu
Ahahah yaishe humu kuna watu wanamanyota yao wasije nisekwa mahabusu😹😹😹 Si uliweka uzi mwenyewe Mwachi lakini??
Hata km dada ako mmbea ila hili hapana ulilitoa mwenyewe hapa..