Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa JF mwaka 2024

Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa JF mwaka 2024

Bantu Lady , ana hekima na busara sana huyu dada.

Nifah , huyu sasa hivi yuko kwenye penzi zito, hashauriki.

Cute Wife , anajitahidi sana kwenye uandishi!

Evelyn Salt , huyu ana majibu fulani ya kisela a.k.a makavu live!

To yeye , huyu anapenda sana yale mambo yetu!

Aaliyyah , huyu anapenda sana kupika!

Shadeeya , hana tofauti sana na To yeye

Lamomy , huyu kama To yeye

Missy Gf , huyu naye kama To yeye

Nb: Wote pokeeni maua yenu!
Weeh sema kweli 😹😹😹

Mi napenda umbea, hayo mambo yenu mi mtoto 😜
 
🤣😹😹😹😹
Mahi umekuwaje lakini? Uchinjwe Xmas
Aah akipatikana wa kumpenda mbona nitaandika tena na hizi fujo zote zitaisha bado sijapendwa vizuri mahi,,,

Kuna jambo silielewi baadhi ya notification za watu sizipati mpk nisome, hasa kwa mnaotumia app
 
Aah akipatikana wa kumpenda mbona nitaandika tena na hizi fujo zote zitaisha bado sijapendwa vizuri mahi,,,

Kuna jambo silielewi baadhi ya notification za watu sizipati mpk nisome, hasa kwa mnaotumia app
Si babu G yupo jomonii 😜

Pole mi situmii app nisije kubambwa Mr akaijua id yangu tuanzie hayo hayo 🤣😹😹😹
 
🤣🤣🤣kuna siku ilibidi nijiponde😅😅 ili kusawazisha mfadhaiko ulioanza kujitokeza
Mi nilikuwa na app nikaambiwa “Nini hiki?” Haya futa 😹😹
Sema nampaga ubuyu wa watu wa huku tunacheka balaa..! Akiuliza id yangu namwambia Akhu mi naingia km guest 🤣

Kuna siku alikuta kuna mtu nimemjibu kwa voice WhatsApp kawaida tyuu ila nikaambiwa nimelegeza sana sauti kwann?? 🤣🤣🤣
 
Mi nilikuwa na app nikaambiwa “Nini hiki?” Haya futa 😹😹
Sema nampaga ubuyu wa watu wa huku tunacheka balaa..! Akiuliza id yangu namwambia Akhu mi naingia km guest 🤣

Kuna siku alikuta kuna mtu nimemjibu kwa voice WhatsApp kawaida tyuu ila nikaambiwa nimelegeza sana sauti kwann?? 🤣🤣🤣
Si ajabu uyo shem ananijua na usemi sio unamwambiaga nakunywa pepsi
 
Wakuu Baada ya kufanya utafiti mwaka huu mzima kuhusu watu wenye mchango mkubwa hapa jf hatimaye nimekujana na generalization of findings

Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa jf

1 Labani og ...Huyu mwamba kama ingewezekana angekuwa analipwa tu na jf ..... mchango wake hapa jf ni extraordinary Kwani nimchambuzi wa soka, kwenye siasa ni mtu makini ... kwenye jukwaa la mahusiano ...yeye ni top advisor etc.....kikubwa huyu mwamba ni hatari

Extrovert ....ni mwamba mwenye akili mingi (genius) Baada ya Labani og ....ukiangalia contents zake zimeshiba madini....elimu na mambo mbalimbali ya kijamii


Nifah ....kulingana na utafiti wangu huyu mwanadada ni. Ameupiga mwingi mwaka huu Kwani unaweza sema yeye ni CIA, au mossad Kwan anapata classified Intel za ubuyu ambazo surely hua ni za ukweli

Tate Mkuu ...mwamba kaupiga mwingi kwenye upande wa futbol forum Kwa kuwa ni mtu ana comment Kila Uzi

Kalpana huyu ni member anayepitia maumivu makali Kila siku jukwaa la michezo kulingana ukindaki ndaki Kwa Simba ..ni kawaida kulala siku mbili bila kula kisa Simba [emoji23]

Robert Heriel Mtibeli ....mwamba sana huyu mwaka huu.....naweza mwita philosopher king wa jf .....mwamba anatoa madini mwanzo mwisho ...anaifanya jf kuwa kama Ile ya zamani kabla haija haribiwa na kina Mshangazi [emoji23][emoji23]

min -me ....jamaa katajwa sana adi nmeona aibu [emoji23][emoji23] name quote Poor Brain kwanza ni mtu wa heshima sana kiufupi ni mtu na heshima zake...
Japo ni mchambuzi wa nyuzi za maadili ila anapenda watoto.
min -me yuko vizuri kwny kuongelea vijana na harakati za maisha kwa njia ya unyenyekevu hasa kwny comments zake sema ana mahaba mno na na watoto wa 2000[emoji23][emoji23][emoji23]

To yeye mbeya girl popote ulipo ...mauwa Yako yakufikie Kwa ukubwa ,....kuwa miongoni mwa influencer wa jf mwaka huu

NB: research hii imefanyika mwaka huu mzima.....ikitumia participatory observation.... were as a researcher I was direct involved in study population.....where I watched everything happening there ( in JF)View attachment 3133955

Waweza ongezea mwingine ambaye kaupiga mwingi
Kuna huyu jamaa anaitwa @kilangakomo
 
Mi nilikuwa na app nikaambiwa “Nini hiki?” Haya futa 😹😹
Sema nampaga ubuyu wa watu wa huku tunacheka balaa..! Akiuliza id yangu namwambia Akhu mi naingia km guest 🤣

Kuna siku alikuta kuna mtu nimemjibu kwa voice WhatsApp kawaida tyuu ila nikaambiwa nimelegeza sana sauti kwann?? 🤣🤣🤣
Kuna siku badamu batamwagika, nimecheka ningesema kitu tatizo kuna wakaka wambea humu,
 
Back
Top Bottom