Hawa ndio wachambuzi Bora wa mpira hapa JF 2023

Kumbuka pia wewe bibiye Kalpana na mwenzako Nifah, aisee hamna tofauti na yule Salama Ngale wa Azam Media. Lazima niwape maua 🌷🌹💐 yenu kwa kweli. 🙌
 
Dah! Mwakani nitajitahidi nipate muda ili niwe nakuja na mada za kujenga zaidi kwenye hili jukwaa letu pendwa la michezo. Kushika nafasi ya 4 siyo mchezo eti!!

Yaani hapo maana yake mpaka mdogo wangu wa hiyari GENTAMYCINE na kusoma kwake SAUT, bado nimemgaragaza eti!! 😁
 
Bila jina la GENTAMYCINE huu uzi futa tu.
 
Hii list bila popoma GENTAMYCINE ni takataka.
 
Voice college ni secondary iliyochangamka[emoji23]
 
Kama Nan [emoji23][emoji23]
 
Umejipakulia minyama bro Laban [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo namba moja mpeni mwenye jukwaa lake Genta
Hapana mkuu....genta yupo kwenye list ya watu wenye ban [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…