Hawa ndio wachambuzi Bora wa mpira hapa JF 2023

Ndugu Labani og sisi mapro huwa tunajuana
Hivyo basi sina namna zaidi ya kukubali nishani uliyonipatia ingawaje Mimi binafsi nakukubali sana na nyuzi zako konki hasa za yanga ..

Naona kwa mbaliiii kuna majitu yananionea wivuuuu
 
Panya weee...Bata wa head...kwanza ndo nakuona leo ...
 
Namba 3 ha 6 sio wachambuzi Bali hawajatekwa na ushabiki wanapotoa maoni, hapo ungemwongeza Changaule. Waliobaki ndio wachambuzi vilaza wenye mahaba yaliyopitiliza kwa timu yao,.
 
Hahaha mwakani niingie chimbo niwe nawapa madini
 
Ndugu Labani og sisi mapro huwa tunajuana
Hivyo basi sina namna zaidi ya kukubali nishani uliyonipatia ingawaje Mimi binafsi nakukubali sana na nyuzi zako konki hasa za yanga ..

Naona kwa mbaliiii kuna majitu yananionea wivuuuu
Achana nao mkuu [emoji23] ukweli unajulikana
 
Namba 3 ha 6 sio wachambuzi Bali hawajatekwa na ushabiki wanapotoa maoni, hapo ungemwongeza Changaule. Waliobaki ndio wachambuzi vilaza wenye mahaba yaliyopitiliza kwa timu yao,.
Fuatilia mkuu.....watu Wana madini hatari
 
GENTAMYCINE anafanya nini sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…