Ukorofi huo, Mpe maua yakeHapana mkuu....genta yupo kwenye list ya watu wenye ban [emoji23]
Panya weee...Bata wa head...kwanza ndo nakuona leo ...
Me too ndio nimekuona leoPanya weee...Bata wa head...kwanza ndo nakuona leo ...
Hahaha mwakani niingie chimbo niwe nawapa madiniKama ilivyokawaida mwishoni mwa mwaka Huwa tunaleta appreciations Kwa members waliofanya vizuri ndani ya mwaka.
So hii ni list ya wachambuzi Bora hapa JF mwaka 2023 based on maoni ya wadau
1. Labani og ..huyu jamaa ni konk sana kwenye kufanya analysis kwenye mpira + kutabiri matokeo
2. Its Pancho ..huyu ni bingwa wa kuuchambua mpira kiasi kwamba ni kama career yake
3. NALIA NGWENA ... Nadhani mnamjua jinsi Gani alivyomtaalamu
4. Tate Mkuu ..ni mwamba sana mwenye madini kwenye soka hapa jf
5. Charles kilian .....Jf sports inajivunia uwepo wako
6. Kilimbatz ....ni mtu wa soka mwenye madini sana hapa jf ....
7. Interlacustrine R ....Moja kati ya watu wa mpira wilioupiga mwingi mwaka 2023
8. Nifah ....Kwa kweli huyu kiongozi anaujua sana mpira ...hata Mimi najionaga mweupe [emoji23][emoji23][emoji122]
NB: ni hao tu Kwa mwaka 2023
Sawa mkuu tutakujaWabongo mna vituko sana asee. Yani mkishabishania mipira mibovu ya simba na yanga nanyie mnajiita wachambuzi?
Niwaalike basi muwe mnatembelea hata hii thread Liverpool FC (The Reds) | Special Thread huku mtakutana na vichwa vinavyojua mpira na mtajifunza kuwa uchambuzi sio kubishana hovyo na kutukanana hapa jukwaani.
GENTAMYCINE anafanya nini sasa?Kama ilivyokawaida mwishoni mwa mwaka Huwa tunaleta appreciations Kwa members waliofanya vizuri ndani ya mwaka.
So hii ni list ya wachambuzi Bora hapa JF mwaka 2023 based on maoni ya wadau
1. Labani og ..huyu jamaa ni konk sana kwenye kufanya analysis kwenye mpira + kutabiri matokeo
2. Its Pancho ..huyu ni bingwa wa kuuchambua mpira kiasi kwamba ni kama career yake
3. NALIA NGWENA ... Nadhani mnamjua jinsi Gani alivyomtaalamu
4. Tate Mkuu ..ni mwamba sana mwenye madini kwenye soka hapa jf
5. Charles kilian .....Jf sports inajivunia uwepo wako
6. Kilimbatz ....ni mtu wa soka mwenye madini sana hapa jf ....
7. Interlacustrine R ....Moja kati ya watu wa mpira wilioupiga mwingi mwaka 2023
8. Nifah ....Kwa kweli huyu kiongozi anaujua sana mpira ...hata Mimi najionaga mweupe [emoji23][emoji23][emoji122]
NB: ni hao tu Kwa mwaka 2023
Huenda huyo GENTAMYCINE wako amekosa vigezo kwa sababu yeye mwenyewe tayari ni Popoma! Na kama hufahamu, ukishakuwa tu Popoma! unakuwa huna tofauti na saa mbovu!!Hii list bila popoma GENTAMYCINE ni takataka.
Hapana labda ungejiweka kwenye kundi la watu wastaarabu wasiotumia lugha mbaya kujibu hoja.Fuatilia mkuu.....watu Wana madini hatari
Genta ata appear kwenye members wenye ban nyingi [emoji23]GENTAMYCINE anafanya nini sasa?