Hawa ndio Wadada wa JF ambao wakiniambia tuliza Munkari ninaweza kutulia na busara zangu kurejea

Kitambo sana Brother,
Za siku nyingi?

Umepotea sana Mkuu.
 
kila uzi unaohusu wanawake wa jf id ni zile zile tu kama za hapa lakini ukweli zipo id za kike hapa jf sio popular lakini wapo vizuri mno, hii cycle ya tags ni ile ile kila leo, and of day ni too generally.
zitaje na ww
 
Kisungura πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kumeanza kuchangamka[emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…