Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #61
Hapo nawaona Leejay49, To yeye na Nifah. Hao wengine sijui kama ni members humu sijawahi kuona like zao kwangu, labda binti kiziwi namuonaona. Members wengine muda mwingi hawako active hatuwajui
Sawasawa π.. nitafanya hivyo kaka mkubea
Sorry ni typing error.. nilikusudia kusema kaka mkubwa ππ€¦Tafadhali sana. Ni kaka Mtibeli
MADINI YA THAMANI NA VITO VYA THAMANI HUFICHWA KWENYE MIAMBAkila uzi unaohusu wanawake wa jf id ni zile zile tu kama za hapa lakini ukweli zipo id za kike hapa jf sio popular lakini wapo vizuri mno, hii cycle ya tags ni ile ile kila leo, and of day ni too generally.
13.ni kipenzi ChanguKwema Wakuu!
Taikon huambiliki, Taikon ni mbishi sana. Taikon sijui unamfumo dume. Taikon much know. Taikon unadharau na kuwachukia Wanawake. Oooh! Taikon kutwa kucha kuwakandia wanawake. Alafu unakuwa aggressive kama mwendawazimu. Taikon kapime magonjwa ya Akili.
Sawa yote NIMEKUBALI.
Kikawaida Taikon sipendelei kuwasikiliza wanawake. Nina sababu zangu. Sababu kubwa ni kuwa wanawake wengi wanaendeshwa na Mihemko. Na watu wanaoendeshwa na mihemko kikawaida ni wabinafsi. Na Taikon na Watu Wabinafsi ni mbingu na ardhi.
Kimsingi Taikon ni Dikteta hasa akiwa mbele ya Watu Wabinafsi, hasa wanawake wengi.
Na tabia hiyo hataiacha na ninaipenda sana kwa sababu ni ulinzi na usalama.
Pamoja na udikteta, ukoloni, mfumo dume nilionao lakini wapo Wanawake wachache ambao ninaweza kuwasikiliza na wananituliza Munkari.
Mwanamke yeyote ambaye ataweza kutumia akili kuliko hisia zake huyo anauwezo wa kunidhibiti na kuzungumza na Mimi.
Humu JF kuna wanawake ambao ninaweza kuwasikiliza. Yaani wakiniambia acha, naacha. Tulia natulia. Wakiniambia nimeboronga basi najua hapa itakuwa nimeboronga kweli. Ingawaje sio kwa asilimia mia moja lakini angalau asilmia 65% wanaweza kuwa wanasema Kweli.
Wadada/wanawake hao ni kama ifuatavyo;
1. binti kiziwi
2. Nifah
3. Kalpana
4. To yeye
5. Leejay49
6. Joannah
7. Carleen
8. Mamndenyi
9. scolastika
10. Kasie
11. Kelsea
12 na 13 majina yao yamenitoka.
Hawa angalau kidogo hata nikijadiliana nao wakija na mawenge kama siku hiyo hawajaamka vizuri ninaweza kuwastahi na moyo wangu unakuwa mgumu kutoa maamuzi ya hasira(yaukichaa, wendawazimu, majibu ya milembe).
Nawatakia Sabato Njema
13.ni kipenzi Changu
Unique Flower
Sorry ni typing error.. nilikusudia kusema kaka mkubwa ππ€¦
Vizuri kama ni hivyo π₯°π
Usijali
Nilishasema kwenu moyo wangu unakuwa mzito kuwapiga vitu vizito. Moyo wangu unarojaroja, unasuasua, unachundachunda.
Sina ujanja kwenu
Naam huwezi kuwakuta wakitajwa tajwa hapa lakini wameshiba haswa Mama Amon cariha luckyline miss pablo nawengine wengi tuID nyingi popular hapa kwa makadirio ni miaka 23_ 30
tazama hata comment tu.
Nenda kaangalie nyuzi za mama Amon pale utakutana na wahenga. Na Hawapo active sana
Hakika ndugu yangu.MADINI YA THAMANI NA VITO VYA THANI HUFICHWA KWENYE MIAMBA
π€£π€£π€£π€£Hapana kwangu.
Ingawaje hatujawahi kugombana na kila mtu na time yake tukiwa humu JF lakini dish lake sina uhakika nalo.
Samahani lakini ( in Kuhani Musa Mwacha voice wa ngome ya Yesu )
Kuona dini ni kama club za mpira,hiyo ni tafsiri yako wewe na niimani yako wewe,itakua ni upumbavu wa hali ya juu sana kutaka kila mtu aone kama unavyoona wewe,kama dini yako ni sana na Simba na Yanga basi usilazimishe na uislamu kua hivyo,Uislamu ni dini sio kama klabu za mpira,tanguliza heshima mbele kwenye imani za watu.Faiza Foxy tatizo lake ni mbinafsi linapokuja suala la Dini yake. Yeye kila kitu uislamu.
Hapo ndipo anapopoteza.
Wakati dini ni kama club za mpira yaani simba na Yanga
Huyo alishakata ringi... slayqueen wa enzi za TANU hana mvuto kwa sasa.bila kumsahau faiza foxy huu uzi ni batili vinginevyo
ππππππ yaaniiii hawana hata maajabu kabisaHata kama wanachangia kila siku, kwanza michango yao ipo kawaida mno.
Kuona dini ni kama club za mpira,hiyo ni tafsiri yako wewe na niimani yako wewe,itakua ni upumbavu wa hali ya juu sana kutaka kila mtu aone kama unavyoona wewe,kama dini yako ni sana na Simba na Yanga basi usilazimishe na uislamu kua hivyo,Uislamu ni dini sio kama klabu za mpira,tanguliza heshima mbele kwenye imani za watu.