Hawa ndio Wadada wa JF ambao wakiniambia tuliza Munkari ninaweza kutulia na busara zangu kurejea

Hawa ndio Wadada wa JF ambao wakiniambia tuliza Munkari ninaweza kutulia na busara zangu kurejea

Kwema Wakuu!

Taikon huambiliki, Taikon ni mbishi sana. Taikon sijui unamfumo dume. Taikon much know. Taikon unadharau na kuwachukia Wanawake. Oooh! Taikon kutwa kucha kuwakandia wanawake. Alafu unakuwa aggressive kama mwendawazimu. Taikon kapime magonjwa ya Akili.
Sawa yote NIMEKUBALI.

Kikawaida Taikon sipendelei kuwasikiliza wanawake. Nina sababu zangu. Sababu kubwa ni kuwa wanawake wengi wanaendeshwa na Mihemko. Na watu wanaoendeshwa na mihemko kikawaida ni wabinafsi. Na Taikon na Watu Wabinafsi ni mbingu na ardhi.
Kimsingi Taikon ni Dikteta hasa akiwa mbele ya Watu Wabinafsi, hasa wanawake wengi.
Na tabia hiyo hataiacha na ninaipenda sana kwa sababu ni ulinzi na usalama.

Pamoja na udikteta, ukoloni, mfumo dume nilionao lakini wapo Wanawake wachache ambao ninaweza kuwasikiliza na wananituliza Munkari.
Mwanamke yeyote ambaye ataweza kutumia akili kuliko hisia zake huyo anauwezo wa kunidhibiti na kuzungumza na Mimi.

Humu JF kuna wanawake ambao ninaweza kuwasikiliza. Yaani wakiniambia acha, naacha. Tulia natulia. Wakiniambia nimeboronga basi najua hapa itakuwa nimeboronga kweli. Ingawaje sio kwa asilimia mia moja lakini angalau asilmia 65% wanaweza kuwa wanasema Kweli.

Wadada/wanawake hao ni kama ifuatavyo;

1. binti kiziwi
2. Nifah
3. Kalpana
4. To yeye
5. Leejay49
6. Joannah
7. Carleen
8. Mamndenyi
9. scolastika
10. Kasie
11. Kelsea
12 na 13 majina yao yamenitoka.

Hawa angalau kidogo hata nikijadiliana nao wakija na mawenge kama siku hiyo hawajaamka vizuri ninaweza kuwastahi na moyo wangu unakuwa mgumu kutoa maamuzi ya hasira(yaukichaa, wendawazimu, majibu ya milembe).

Nawatakia Sabato Njema
13.ni kipenzi Changu
Unique Flower
 
Faiza Foxy tatizo lake ni mbinafsi linapokuja suala la Dini yake. Yeye kila kitu uislamu.
Hapo ndipo anapopoteza.

Wakati dini ni kama club za mpira yaani simba na Yanga
Kuona dini ni kama club za mpira,hiyo ni tafsiri yako wewe na niimani yako wewe,itakua ni upumbavu wa hali ya juu sana kutaka kila mtu aone kama unavyoona wewe,kama dini yako ni sana na Simba na Yanga basi usilazimishe na uislamu kua hivyo,Uislamu ni dini sio kama klabu za mpira,tanguliza heshima mbele kwenye imani za watu.
 
Kuona dini ni kama club za mpira,hiyo ni tafsiri yako wewe na niimani yako wewe,itakua ni upumbavu wa hali ya juu sana kutaka kila mtu aone kama unavyoona wewe,kama dini yako ni sana na Simba na Yanga basi usilazimishe na uislamu kua hivyo,Uislamu ni dini sio kama klabu za mpira,tanguliza heshima mbele kwenye imani za watu.

Imani ni ya mtu binafsi.
Dini ndio ya watu, jamii au taifa.

Hakuna sehemu nimeutaja uislamu kama club. Ila nimetaja dini ni kama club za mipira. Hivyo kama wewe ukita uislamu kama sehemu ya hizo club au Ukristo ni sehemu za hizo club hapo ni wewe sasa.

Ninaheshimu dini za Watu lakini haiachi ukweli kuwa hizo ni club tuu za kuboresha imani za Watu.
Ni kama mpira na timu za mipira kazi yake ni kuboresha burudani kwa watu. So ishu kubwa hapo ni burudani.
 
Back
Top Bottom