Hawa ndio Wadada wa JF ambao wakiniambia tuliza Munkari ninaweza kutulia na busara zangu kurejea

Hawa ndio Wadada wa JF ambao wakiniambia tuliza Munkari ninaweza kutulia na busara zangu kurejea

Donatila namuelewa huyu Mama sana Ila sasa Manabii na Mitume wa uongo wamemshika masikio hasikiii wala haoni Mwamposa Nabii Kuhani Musa

mama D namwelewa sana Ila sasa na yeye ndio wale wale km Donatila ni Manabii na Mitume wa uongo wamemshika mpaka pua na macho hasikiii haoni hanusi Mwamposa Nabii Mtume Kuhani Musa

Lamomy huyu nae namwelewa Ila alipoanza kujifanya eti na yeye ameokoka nikajua tu hapa tayari ameshapatwa na tatizo la mfumo wa saikolojia kwenye ubongo wake soon anaenda kutapeliwa pakubwa

FaizaFoxy Bibi wa JF kutoka Canada namuelewa sana Ila sasa huyu balaa lake ni mfia Dini wa Muhhamediah yaan humwambii kitu kuhusu Allahu Akbaru

Hao ni wachache kati ya wengi
 
Imani ni ya mtu binafsi.
Dini ndio ya watu, jamii au taifa.

Hakuna sehemu nimeutaja uislamu kama club. Ila nimetaja dini ni kama club za mipira. Hivyo kama wewe ukita uislamu kama sehemu ya hizo club au Ukristo ni sehemu za hizo club hapo ni wewe sasa.

Ninaheshimu dini za Watu lakini haiachi ukweli kuwa hizo ni club tuu za kuboresha imani za Watu.
Ni kama mpira na timu za mipira kazi yake ni kuboresha burudani kwa watu. So ishu kubwa hapo ni burudani.
Punguza ujinga basi,maneno mengi yasiyokua na maana ni sawa na kujipitisha hapa huku ukitingisha kalio,

Unajua kabisa dini ya Faiza ni uislamu na lengo lako lilikua ni kuuponda uislamu,nyie mnaokashifu imani za watu hua siwalei kabisa,hata kama utakua ni nani,

Weka heshima mbele kwenye imani za watu.
 
Donatila namuelewa huyu Mama sana Ila sasa Manabii na Mitume wa uongo wamemshika masikio hasikiii wala haoni Mwamposa Nabii Kuhani Musa

mama D namwelewa sana Ila sasa na yeye ndio wale wale km Donatila ni Manabii na Mitume wa uongo wamemshika mpaka pua na macho hasikiii haoni hanusi Mwamposa Nabii Mtume Kuhani Musa

Lamomy huyu nae namwelewa Ila alipoanza kujifanya eti na yeye ameokoka nikajua tu hapa tayari ameshapatwa na tatizo la mfumo wa saikolojia kwenye ubongo wake soon anaenda kutapeliwa pakubwa

FaizaFoxy Bibi wa JF kutoka Canada namuelewa sana Ila sasa huyu balaa lake ni mfia Dini wa Muhhamediah yaan humwambii kitu kuhusu Allahu Akbaru

Hao ni wachache kati ya wengi

FaizaFoxy Donatila mama D hao ni wafia dini.
Kuwataja labda kwenye ishu zingine kama wafia dini.
Ukishakuwa mashabiki kupitiliza upo hatarini kutokuwa mkweli
 
Kwema Wakuu!

Taikon huambiliki, Taikon ni mbishi sana. Taikon sijui unamfumo dume. Taikon much know. Taikon unadharau na kuwachukia Wanawake. Oooh! Taikon kutwa kucha kuwakandia wanawake. Alafu unakuwa aggressive kama mwendawazimu. Taikon kapime magonjwa ya Akili.
Sawa yote NIMEKUBALI.

Kikawaida Taikon sipendelei kuwasikiliza wanawake. Nina sababu zangu. Sababu kubwa ni kuwa wanawake wengi wanaendeshwa na Mihemko. Na watu wanaoendeshwa na mihemko kikawaida ni wabinafsi. Na Taikon na Watu Wabinafsi ni mbingu na ardhi.
Kimsingi Taikon ni Dikteta hasa akiwa mbele ya Watu Wabinafsi, hasa wanawake wengi.
Na tabia hiyo hataiacha na ninaipenda sana kwa sababu ni ulinzi na usalama.

Pamoja na udikteta, ukoloni, mfumo dume nilionao lakini wapo Wanawake wachache ambao ninaweza kuwasikiliza na wananituliza Munkari.
Mwanamke yeyote ambaye ataweza kutumia akili kuliko hisia zake huyo anauwezo wa kunidhibiti na kuzungumza na Mimi.

Humu JF kuna wanawake ambao ninaweza kuwasikiliza. Yaani wakiniambia acha, naacha. Tulia natulia. Wakiniambia nimeboronga basi najua hapa itakuwa nimeboronga kweli. Ingawaje sio kwa asilimia mia moja lakini angalau asilmia 65% wanaweza kuwa wanasema Kweli.

Wadada/wanawake hao ni kama ifuatavyo;

1. binti kiziwi
2. Nifah
3. Kalpana
4. To yeye
5. Leejay49
6. Joannah
7. Carleen
8. Mamndenyi
9. scolastika
10. Kasie
11. Kelsea
12 na 13 majina yao yamenitoka.

Hawa angalau kidogo hata nikijadiliana nao wakija na mawenge kama siku hiyo hawajaamka vizuri ninaweza kuwastahi na moyo wangu unakuwa mgumu kutoa maamuzi ya hasira(yaukichaa, wendawazimu, majibu ya milembe).

Nawatakia Sabato Njema
Donatila

Hannah

Missy Gf
 
Punguza ujinga basi,maneno mengi yasiyokua na maana ni sawa na kujipitisha hapa huku ukitingisha kalio,

Unajua kabisa dini ya Faiza ni uislamu na lengo lako lilikua ni kuuponda uislamu,nyie mnaokashifu imani za watu hua siwalei kabisa,hata kama utakua ni nani,

Weka heshima mbele kwenye imani za watu.

Mimi uislamu kama nikúuponda nilishaupondaga kulingana na maeneo ambayo hayapo sahihi.
Halikadhalika na Ukristo.

Naweza kuponda chochote ambacho hakipo sawa hata kama ni mimi mwenyewe.

Kwani huo uislamu ni nini hata usipondwe kama kuna jambo halipo sawa. Au huo Ukristo ni kitu gani hata usipondwe. Mimi sina jicho moja, nina macho mawili lazima niangalie uzuri na ubaya wa kitu au jambo na niseme.

Mtu yeyote ambaye anamtazamo kama wa Faiza au hata wako kuwa kwa vile sijui ni dini fulani sijui Ukristo au Uislamu ndio usipondwe mtu huyo ni mbinafsi. Na watu Wabinafsi kikawaida sio watenda Haki, na sio kweli, na kama wanakosa hayo yote basi hawana UPENDO.

Baba yangu mwenyewe muislam alafu wewe unataka niwe chongo kisa fulani muislamu.
Huyo sio mimi. Huyo ni wewe na watu wa aina yako
 
Mimi uislamu kama nikúuponda nilishaupondaga kulingana na maeneo ambayo hayapo sahihi.
Halikadhalika na Ukristo.

Naweza kuponda chochote ambacho hakipo sawa hata kama ni mimi mwenyewe.

Kwani huo uislamu ni nini hata usipondwe kama kuna jambo halipo sawa. Au huo Ukristo ni kitu gani hata usipondwe. Mimi sina jicho moja, nina macho mawili lazima niangalie uzuri na ubaya wa kitu au jambo na niseme.

Mtu yeyote ambaye anamtazamo kama wa Faiza au hata wako kuwa kwa vile sijui ni dini fulani sijui Ukristo au Uislamu ndio usipondwe mtu huyo ni mbinafsi. Na watu Wabinafsi kikawaida sio watenda Haki, na sio kweli, na kama wanakosa hayo yote basi hawana UPENDO.

Baba yangu mwenyewe muislam alafu wewe unataka niwe chongo kisa fulani muislamu.
Huyo sio mimi. Huyo ni wewe na watu wa aina yako
Rubbish.
 
Donatila namuelewa huyu Mama sana Ila sasa Manabii na Mitume wa uongo wamemshika masikio hasikiii wala haoni Mwamposa Nabii Kuhani Musa

mama D namwelewa sana Ila sasa na yeye ndio wale wale km Donatila ni Manabii na Mitume wa uongo wamemshika mpaka pua na macho hasikiii haoni hanusi Mwamposa Nabii Mtume Kuhani Musa

Lamomy huyu nae namwelewa Ila alipoanza kujifanya eti na yeye ameokoka nikajua tu hapa tayari ameshapatwa na tatizo la mfumo wa saikolojia kwenye ubongo wake soon anaenda kutapeliwa pakubwa

FaizaFoxy Bibi wa JF kutoka Canada namuelewa sana Ila sasa huyu balaa lake ni mfia Dini wa Muhhamediah yaan humwambii kitu kuhusu Allahu Akbaru

Hao ni wachache kati ya wengi
😂😂😂😂 yaani nimecheka jamani!!
Sasa bro kuokoka kuna shida gani?! Kwahiyo hutaki tuokoke?!
Halafu hii id yako sijawahi kukutana nayo sehemu au umebadili jina?
All in all tuko pamoja endelea kunielewa bhana 😉
 

Kitu kikiwa kizuri kwako ukashindwa kuona ubaya wake elewa kuwa wapo Watu wanaoona ubaya wake.
Na hicho ndicho ninachopishana na Faiza pamoja na watu wa aina yako.

Uislamu ni mzuri lakini haimaanishi hauna ubaya wake. Watu wataupongeza kwa uzuri lakini wapo pia watauponda kwa ubaya wake.

Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom