Hawa ndio Wadada wa JF ambao wakiniambia tuliza Munkari ninaweza kutulia na busara zangu kurejea

We jamaa kuna kuna Bibi zako watatu umewaorodhesha. Halafu unaita wadada?
 
Hakika hilo nimeliona kwangu,kuna muda nakujibu kwa hasira then majibu yako ni ya busara unayonirudishia...u deserve to be a leader
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…