Hawa ndio wamiliki halali wa WASAFI LIMITED

Hawa ndio wamiliki halali wa WASAFI LIMITED

Hii document yawezekana imefanyiwa edit. Wasafi ni mali ya kusaga kwanini naandika hivi.

Miezi 6 nyuma wasafi wamenunua ardhi Mbezi beach ili wajenge headqiarter yao. million 700. Sadala na yeye kageuka dalali alitakiwa awape madalali 6 mil 20 yeye kawapa mil 3 nyingine kazisunda. Madalali wakimfuata anatuma mabaunsa. Sadala nae anatumwa tuu sema ni business partner.
 
Hii document yawezekana imefanyiwa edit. Wasafi ni mali ya kusaga kwanini naandika hivi.

Miezi 6 nyuma wasafi wamenunua ardhi Mbezi beach ili wajenge headqiarter yao. million 700. Sadala na yeye kageuka dalali alitakiwa awape madalali 6 mil 20 yeye kawapa mil 3 nyingine kazisunda. Madalali wakimfuata anatuma mabaunsa. Sadala nae anatumwa tuu sema ni business partner.
Sasa Sadala aweke nini umuamini, halafu hujalazimishwa kuamini,kwani hata husipo amini hubadilishi kitu.
 
Back
Top Bottom