Hawa ndio wana JamiiForums niliokutana nao

Hawa ndio wana JamiiForums niliokutana nao

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.

Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.

Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.

Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.

Kuwa macho ndugu yako



 
Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.

Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?

Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.

Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.

Acheni uzushi na uongo.
 
Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.

Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?

Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.

Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.

Acheni uzushi na uongo.
He sounds inferior ....
Buji buji naomba msamaha kwa hii comment maana huwa nakuheshimu mno.
 
He sound inferior ....
Buji buji naomba msamaha kwa hii comment maana huwa nakuheshimu mno.
Ni uongo tu.

Hakuna sehemu yoyote hapa ambapo watu wote huwa wanasema hivyo.

Halafu, kama ni wote huwa wanasema hivyo, ina maana na yeye huwa anasema hivyo, si ndiyo?

Au yeye anajitoa katika hao ‘wote’?

Mimi naona yeye ana project vile ajionavyo humu.
 
Ni uongo tu.

Hakuna sehemu yoyote hapa ambapo watu wote huwa wanasema hivyo.

Halafu, kama ni wote huwa wanasema hivyo, ina maana na yeye huwa anasema hivyo, si ndiyo?

Au yeye anajitoa katika hao ‘wote’?

Mimi naona yeye ana project vile ajionavyo humu.
Umejenga hoja vizuri sana
Bujibuji hapa amechemka pakubwa
 
Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.

Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?

Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.

Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.

Acheni uzushi na uongo.
Kama umepaniki vile. Inajulikana kwamba hamnaga general rule
 
Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.

Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?

Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.

Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.

Acheni uzushi na uongo.
Kaka mkubwa, kwani tumeshawahi kuonana? Naomba usome kichwa cha habari vizuri
 
Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.

Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?

Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.

Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.

Acheni uzushi na uongo.
Screenshot_20230108-180602_Chrome.jpg
 
Kaka mkubwa, kwani tumeshawahi kuonana? Naomba usome kichwa cha habari vizuri
Hata hao ulioonana nao sidhani kama walidai wana hivyo vitu vyote.

Ni uongo na uzushi wako tu.

Mtu ataanzaje kusema ana hivyo vitu vyote?

Na wewe ulikuwa unaandika kwenye daftari hayo yote waliyokuwa wanayasema?

Wewe ni muongo na mzushi tu!
 
Back
Top Bottom