Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Kama hujawahi kukutana na mimi na huu uzi si wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha haha haha usijali. Nimemuuliza je tumewahi kukutana? Nikamkumbusha asome vyema kichwa cha habariHe sounds inferior ....
Buji buji naomba msamaha kwa hii comment maana huwa nakuheshimu mno.
Tuko wote🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona me sina gari, sina nyumba, sina biashara, sina elimu, sio boss, ssiendagi vacation na ni mwana JF? Au ni mimi peke angu?
Naona sasa umekuwa nabii, popote nilipo upo, na unayasikiliza maongezi yetu. Vyema sana ndugu nabiiHata hao ulioonana nao sidhani kama walidai wana hivyo vitu vyote.
Ni uongo na uzushi wako tu.
Mtu ataanzaje kusema ana hivyo vitu vyote?
Na wewe ulikuwa unaandika kwenye daftari hayo yote waliyokuwa wanayasema?
Wewe ni muongo na mzushi tu!
Na wewe kumbe kapuku kama mimi?Tuko wote
Hamna ambaye hana stress ya maisha. Tumezaliwa ili kuzishinda stress, huo ndio ubinadamuUna stress za maisha mkuu!
Kapuku yaaani mwenye madeni pande zote za dunia 😀😀😀😀Na wewe kumbe kapuku kama mimi?
Kumbe ndo wale ulokutana nao? Sasa buji huoni watajiskia vibaya kuwaanika hapa?Haha haha haha usijali. Nimemuuliza je tumewahi kukutana? Nikamkumbusha asome vyema kichwa cha habari
Wewe ni muongo tu hahahaaaa.Kama hujawahi kukutana na mimi na huu uzi si wako
Kapuku sio lazima uwe na madeni ila ni hali ya uchumi wako kutokuwa na uelekeo wenye uelekeoKapuku yaaani mwenye madeni pande zote za dunia 😀😀😀😀
Labda akisema wanaodaiwa kila mahala nitakuepo
Ndio maana hujakutana na Bujibuji Simba NyamaumeMbona wana JF ndo wanamchi wa kawaida tunaoishi nao mitaani?
Vyote hivyo nnavyo kwani ni dhambi1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.
Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.
Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.
Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.
Kuwa macho ndugu yako
Nyani unamkumbuka mwalimu Sharifu huyu kuna siku alinifanyia kitu siwezi msahauNi uongo tu.
Hakuna sehemu yoyote hapa ambapo watu wote huwa wanasema hivyo.
Halafu, kama ni wote huwa wanasema hivyo, ina maana na yeye huwa anasema hivyo, si ndiyo?
Au yeye anajitoa katika hao ‘wote’?
Mimi naona yeye ana project vile ajionavyo humu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 niko tayari kusahihishwa mkuuMkuu, He sound ina maana au ni lugha gani?
Afadhali kama iko hivyo.1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.
Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.
Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.
Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.
Kuwa macho ndugu yako
Muongo wewe.Naona sasa umekuwa nabii, popote nilipo upo, na unayasikiliza maongezi yetu. Vyema sana ndugu nabii