Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe storyNyani unamkumbuka mwalimu Sharifu huyu kuna siku alinifanyia kitu siwezi msahau
kasema hamjui nimechanganya habariTupe story
Poakasema hamjui nimechanganya habari
Mkuu,uko serious Sana. Umemkalia Bujibuji kooni ila Mimi naona Kama jamaa ni mtu wa utani mwingi. Don't take it seriously.Wewe ni muongo tu hahahaaaa.
Unataka kujipatia vi brownie points kwa kuwa seam hao uliokutana ili sijui uonekane uko ‘real’.
FOH with that bullshit.
Mtu anaanzaje kukuambia wewe ana hivyo vitu vyote?
‘Aisee Bujibuji, mimi nina gari, nina madigrii, nina ma akaunti Uswisi, nina mashamba, nina matrekta’…
Wewe ni mzushi tu. You don’t sound believable at all.
Bujibuji is the King of Chit Chat inconsequential conversation. You was supposed not to over reactHata katika hao alioonana sidhani kama walimwambia wana hivyo vitu vyote.
Uzushi tu.
Oh, I know.Mkuu,uko serious Sana. Umemkalia Bujibuji kooni ila Mimi naona Kama jamaa ni mtu wa utani mwingi. Don't take it seriously.
Tumewaza sawa. Nyani Ngabu ume over react kwaMkuu,uko serious Sana. Umemkalia Bujibuji kooni ila Mimi naona Kama jamaa ni mtu wa utani mwingi. Don't take it seriously.
Huendi vacation[emoji23][emoji23]kuna uzi nimeona unatupata utaratibu wa kuvisit Lushoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona me sina gari, sina nyumba, sina biashara, sina elimu, sio boss, ssiendagi vacation na ni mwana JF? Au ni mimi peke angu?
Basi naishiaga kucheka tu🤣Ndio sisi hao..mtusamehe tu😅
Kweli wewe ndege john,mpaka sasa hivi huna mtoto??kazi kupiga puchu tu nyie ndo unapandisha sabuni zinakuwa ghaliUkweli kuhusu mimi
1.nina kazi
2.sina hela kwa sasa ila huwa napata
3.sina gari
4.sina kiwanja
5.sina mke
6.sina mtoto
7.sina laptop
8.sina passport
List ni ndefu sana
Kiswahili kigumu amesemaHata hao ulioonana nao sidhani kama walidai wana hivyo vitu vyote.
Safi sana watu kama wewe, ni He sounds japo ni kakosa kadogo sana au mtu anaweza jisahau tu. Nilitaka attention yako tu sina la maana mkuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 niko tayari kusahihishwa mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 niko tayari kusahihishwa mkuu
Msome mpaka mwisho utamwelewaKudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.
Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?
Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.
Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.
Acheni uzushi na uongo.
Huyu mimi kabisa yani,,, ila mkuu haya mambo huwezi kuyajua kama na wewe si mwanachama,,,, nje ya mada kidogo washika dau,,,,,Kweli wewe ndege john,mpaka sasa hivi huna mtoto??kazi kupiga puchu tu nyie ndo unapandisha sabuni zinakuwa ghali
😅😅😅😅😅😅kapuku mimi nna madeniKapuku sio lazima uwe na madeni ila ni hali ya uchumi wako kutokuwa na uelekeo wenye uelekeo
Hiyo picha yako ya kulegeza macho, inaonyesha jinsi unavyosikia raha ukitumia sabuniHuyu mimi kabisa yani,,, ila mkuu haya mambo huwezi kuyajua kama na wewe si mwanachama,,,, nje ya mada kidogo washika dau,,,,,
Ulijuaje mkuu,,Hiyo picha yako ya kulegeza macho,inaonyesha jinsi unavyosikia raha ukitumia sabuni