APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Inaonyesha jitahidi humpachike hata kabinti mimba,maana puchu itauwa nguvu zako za kiumeUlijuaje mkuu,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonyesha jitahidi humpachike hata kabinti mimba,maana puchu itauwa nguvu zako za kiumeUlijuaje mkuu,,
Ndio maana huwa nakukubali, japo kichinichini.Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.
Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?
Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.
Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.
Acheni uzushi na uongo.
Bujibuji Simba Nyamaume mnoko sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona me sina gari, sina nyumba, sina biashara, sina elimu, sio boss, ssiendagi vacation na ni mwana JF? Au ni mimi peke angu?
Kweli kabisa mkuu yani nimekuwa addicted mpaka naongopa sasa,,,Inaonyesha jitahidi humpachike hata kabinti mimba,maana puchu itauwa nguvu zako za kiume
Daah acha hizo mamboKweli kabisa mkuu yani nimekuwa addicted mpaka naongopa sasa,,,
Kasema wote aliokutana nao, kama hajakutana na wewe basi hajakulenga.Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.
Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?
Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.
Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.
Acheni uzushi na uongo.
Si ni ndugu yako lakini?Bujibuji Simba Nyamaume mnoko sana
Wabongo mmezidi kuchunguzana.1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.
Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.
Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.
Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.
Kuwa macho ndugu yako
Kumbe nina rafiki kibosile nami sijui, pacha wangu kabisa una mihela, Fanya kunipunguzia walau robo tu ndugu yangu, mie nawe damdam ujueKumbe nna gari kali, nyumba,nishawapeleka wadogo zangu vacation...na biashara kubwa nnazo ila hamniambii
Sijapenda kwakweli
makaveli10 kumbe mi huku ni tajiri afu huniambii[emoji849][emoji849]
HHM ndio jukwaa gan mkuuMtoa mada kaleta Uzi wake kikejeli flan hivi
Ila niseme TU kua tusikatishane tamaa
Jf pia Kuna Watu wema na wazur sana
Kuna Watu wengi humu wametatua changamoto zao mbalimbali kupitia wanajf
Ukiona huiamini jf Basi unakiogopa Hadi kivuli chako mwnyw (yaan fake I'd)
Nmekutana na watu zaidi 20 nje ya jf na sijawai kujutia hasa, juz juz nilileta Uzi flan wa malalamiko kule HHM.
Kuna mwanajf kauona na kunifata pm,
Nmeonana nae kumbe ni mtu mkubwa mwenye mamlaka Sema id Yake kichekesho, kanitatulia changamoto yangu tumekua marafiki mpk Sasa na tunaheshimiana Sana.
DAIMA SIJUTII KUIFAHAMU JF[emoji4][emoji1431]
Akiwataja utaamini kuwa hasemi uongo?Wataje kwa majina hao uliokutana
Habari na Hoja Mchanganyiko
Alitaka uandike 'he sounds....'🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 niko tayari kusahihishwa mkuu
muongo huyo anakupoteza, utapata Gono na UKIMWI, baki chaputa mkuuKweli kabisa mkuu yani nimekuwa addicted mpaka naongopa sasa,,,
Wa jf sio?Si ni ndugu yako lakini?