Hawa ndio wana JamiiForums niliokutana nao

Hawa ndio wana JamiiForums niliokutana nao

Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.

Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?

Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.

Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.

Acheni uzushi na uongo.
Ndio maana huwa nakukubali, japo kichinichini.
 
Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.

Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?

Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.

Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.

Acheni uzushi na uongo.
Kasema wote aliokutana nao, kama hajakutana na wewe basi hajakulenga.
 
1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.

Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.

Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.

Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.

Kuwa macho ndugu yako
Wabongo mmezidi kuchunguzana.

Ishi maisha yako, acha kuchunguzachunguza watu wanaishije.

Hayo mambo yote uliyotaja hakuna la ajabu.
 
Kumbe nna gari kali, nyumba,nishawapeleka wadogo zangu vacation...na biashara kubwa nnazo ila hamniambii
Sijapenda kwakweli
makaveli10 kumbe mi huku ni tajiri afu huniambii[emoji849][emoji849]
Kumbe nina rafiki kibosile nami sijui, pacha wangu kabisa una mihela, Fanya kunipunguzia walau robo tu ndugu yangu, mie nawe damdam ujue
😂 😂
 
Mtoa mada kaleta Uzi wake kikejeli flan hivi
Ila niseme TU kua tusikatishane tamaa
Jf pia Kuna Watu wema na wazur sana

Kuna Watu wengi humu wametatua changamoto zao mbalimbali kupitia wanajf

Ukiona huiamini jf Basi unakiogopa Hadi kivuli chako mwnyw (yaan fake I'd)

Nmekutana na watu zaidi 20 nje ya jf na sijawai kujutia hasa, juz juz nilileta Uzi flan wa malalamiko kule HHM.

Kuna mwanajf kauona na kunifata pm,
Nmeonana nae kumbe ni mtu mkubwa mwenye mamlaka Sema id Yake kichekesho, kanitatulia changamoto yangu tumekua marafiki mpk Sasa na tunaheshimiana Sana.

DAIMA SIJUTII KUIFAHAMU JF[emoji4][emoji1431]
HHM ndio jukwaa gan mkuu

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
"If you throw a stone to a pack of dogs, the one that hollers the most is the one hit by a stone..."

Kiufupi nimecheka mno, povu la kwenye huu uzi siyo la dunia hii. Nipo hapa naendelea kusoma michango ya wadau, waliowahi kuonana...

Ila yote tisa, ninyi matajiri wa JF hii tabia ya kuonana nje ya JF madhara ndiyo haya sasa. Mkishaonana huko Karambezi, jitahidini kuyamalizia mambo yenu hukohuko nje...
 
Nimekutana na wana JF weeengi saana....ila ambaye hatujawahi kukutana ndiye nilimjua walau zaidi ya ambao nilikutana nao.
 
Back
Top Bottom