plumber hydrogen
JF-Expert Member
- Feb 17, 2022
- 881
- 1,537
Lugha gongana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona me sina gari, sina nyumba, sina biashara, sina elimu, sio boss, ssiendagi vacation na ni mwana JF? Au ni mimi peke angu?
Sio mimi ulinifananisha....me anga zanguwanza na kanda ya ziwa kwa ujumlaHeheh mbona kuna mahali nilisoma umeenda mapymzikoni Lushoto 😀
Yeah ndugu wa hapa kijiweniWa jf sio?
Sio mimi ulinifananisha....me anga zanguwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla
Ha ha haSio mimi ulinifananisha....me anga zanguwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla
Mkuu me nlitoa ushauri tu ila sio mimi niliyeomba ushauri kuhusu lushoto
Mkuu huku unajikadilia mwenyewe,, ukitaka bwakubwaku au ukitaka mnato wewe tu!! Ila sasa ndo dah!! Ukipitiliza sana miyayusho.muongo huyo anakupoteza, utapata Gono na UKIMWI, baki chaputa mkuu
hahaha, chagua moja, umeze mbaazi za milele, Gona Kubuhu au nyetoMkuu huku unajikadilia mwenyewe,, ukitaka bwakubwaku au ukitaka mnato wewe tu!! Ila sasa ndo dah!! Ukipitiliza sana miyayusho.
Walalahoi kama sie tu hapa.1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.
Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.
Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.
Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.
Kuwa macho ndugu yako
Bora umempa ukweliKudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.
Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?
Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.
Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.
Acheni uzushi na uongo.
Mimi hapa ni mlinzi wa mwana jf mmojawapo hata simu hii nayotumia nimepewa.1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.
Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.
Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.
Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.
Kuwa macho ndugu yako
Boss mrembo,niajiri...maisha ya kwa shemeji hapa yanatesa mnoAisee
Mi ninahuzuni Leo balaa...hata sina maneno mengi my manBoss mrembo,niajiri...maisha ya kwa shemeji hapa yanatesa mno
Nimechoka kugombania remote na watoto wa shemeji
😊
Nini shida tena mama,usifanye nijute kukuletea utaniMi ninahuzuni Leo balaa...hata sina maneno mengi my man
Jf wahuni kweli teh teh ati GiLeSi Aliyejaaliwa.hahahaha buji buji amesahau yeye ni GILACE
Kuna shida napitia japo ni za muda zinapita ila zinaniumiza kiukweliNini shida tena mama,usifanye nijute kukuletea utani