mtoa mada nimegundua ni shabiki wa chelsea, usiniulize nimejuaje....
back to the topic, ngoja nikukosoe....
1. neymar ni level nyingine mkuu, acha chuki na majungu... jamaa anaujua mpira, anauamrisha na unamtii kadri awezavyo. unaijua record yake tangia akiwa huko kwao sau paulo ? barca ? now PSG ?
number hazidanganyi amefunga magoli mengi, na ametoa assist za kutosha.....
je unaijua record yake ya ufungaji timu ya taifa ? kaitafute alafu uje hapa... acha chuki kumfananisha neymar na hazard sijui sanchez unakosea sana, hao wanamkaribia ila hawamfikii
2.pogba.... ni kiungo mzuri mshambuliaji, ananyumbulika vizuri, anapiga pasi fupi na ndefu, anajuatoa assists, anaanzisha mashambulizi pia anafanya tackling. inawezekana jose anamtumia sivyo pale man utd kulingana na falsafa yake ya soka la kujilinda anashindwa kuwa na uhuru, mda wote anakuwa na ile mentality ya kujilinda zaidi ndio maana anacheza deep sana.
3.zlatan,,,.doh namba hazidanganyi, wacha nisiongee sana ila hapa kaonewa. ninachoweza kusema jamaa ni unluck kwa sababu hajawahi kushinda UEFA na sidhan kama atashinda tena.
4. ozil mvivu flan lakin sio kwa kiwango unachokiita galasa... fuatilia records usiongee tu.
5. benzema ... hapa pengine kuna ukweli wa ulichokisema,