Hawa ndio wanawake, kila utakachomfanyia lazima akuroge

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
  • Utarogwa kwa kumpa hela, ili usiwape watu wengine hata wazazi wako, umpe yeye tu.
  • Utarogwa kwa kumnyima hela, atakuendea kwa mganga ili uache ubahili, anahisi unahonga nje.
  • Ataroga ili umpende, ukimpenda zaidi atakuroga Tena uwe zezeta
  • Atakuroga ili akushike masikio na akupande kichwani, wakija majambazi ndio atakapo ona alikosea maana badala ya wewe kupambana na majambazi, utawaambia majambazi, "nitawasemea kwa mke wangu"
  • Wasipokuroga kwa mganga. Watakuroga kwa mapasta
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Daaaah aisee mi nisharogwa...muda wote nawaza kurudi home....hata bia sinywi KWA Raha...tatizo watakuwa wameniroga wawili MAANA HUYU muhudumu wa bar kila wakati naenda bar yake TU...ikifika SAA tatu usiku Kuna nguvu ya ajabu inaniambia Rudi home fasta...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…