Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
kama ndo hivo ningekuwa nmeshawavuta zamani mzee nipo toka kitamb humu amna wanawake kuna madume basi tu ππππNaona unajaribu kuvuta mademu wa Kali kwa mbinu ya kiakili mzee ha ha
Maisha ni kuchagua
kuna mwaka mmoja hivi niliwahi kujiuliza hivi humu kuna mademu kweli ?kama ndo hivo ningekuwa nmeshawavuta zamani mzee nipo toka kitamb humu amna wanawake kuna madume basi tu ππππ
midume ndo ipo sema tunaishi nayo hivo hivo Kama unavyoona yaaan tunakaa nao humu humu hahahakuna mwaka mmoja hivi niliwahi kujiuliza hivi humu kuna mademu kweli ?
Mimi naona humu hakuna mademu mzee labda leo nimesahihisha mtihani wangu
mbona unazikana pamba zako braza πππHa ha ha ha Pancho una Corona itakua Dogo...
Sawa na sie tunaovaa vinjinzi tunavikata mpaka kwenye magoti?Na hao ndio WANAUME.
Bora aiseee umetambua huyu mpga soga tu asiaminike kama Li.pumbaBaada ya huu uzi kunikadiria navaa nguo za vitenge sijawahi kukuamini chochote kuhusu mavazi ya wana JF [emoji23][emoji23][emoji23]
Japo najua ni utani
List ya wana jf wanaojitupia na mitindo wanayoipenda(mikato)..
Baada ya kuja na ile list ya watu peace humu ndani japo walikuwa wachache. Sasa hii ni list ya wana jf namna wanavyovaa na mitindo wanayoipenda.. Magonjwa mtambuka -huyu ni mtu wa age kama 40 hivii.. Yeye anapenda kuvaa suruali za kitambaa na mashati mara nyingi huwa ya mikono mirefu japo...www.jamiiforums.com
Surual za vitambaa navaa ila sio hzo satini zako za kung'aambona unazikana pamba zako braza [emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa nilikusahau tu sio Nilikosea..
Si naskia umekuwa kibonge ndo maana πππ
Ha ha ha ha acha kabisaa aisee nakua kama nahubr Injili barabaran we sio mtu mzur kabisaa yaan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama nakuona umevaa satini [emoji23][emoji23]
lakini simaanishi umekuwa kibonge kama kibanda cha mpesaKama nakuona umevaa satini ππ