Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #21
Unakuwa kama mtumishi wa MUNGU kutoka tukuyu mbeya hahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuwa kama mtumishi wa MUNGU kutoka tukuyu mbeya hahahah
Yaani ulichoshindwa kusema ni kuwa unatuona sisi wazee!Hawa watu wafuatao ni wavaa suruali waliobobea kunako fani hii..
Ni zile suruali zao zinazong'aa kama bati (satini)
Pia huwa wanavalia suruali tumboni...
Lucas Mobutu
CONTROLA
Nyaru-sare
Daby
Mshana Jr
Kawe Alumni
MKWEPA KODI
Asprin (huyu anavaaga na vinyandu siku nyingine)
Kichwa Kichafu
Ushimen (jina lake tu linasadifu yaliyomo)
Bujibuji
Bonny
Smart911 (huyu mambo yetu huwa anatuachia wenyewe)
RRONDO
troublemaker (huyu ni kijana mzee)
matunduizi (toka enzi za mkoloni yeye ni vitambaa tu)
Hawa ni wachache tu wengine mtaongezea..
sio hivyo mkuu hahahaYaani ulichoshindwa kusema ni kuwa unatuona sisi wazee!
Sasa mkuu si ndo leo umevaa jeans?
Navaa jeans siku 6 kati ya Saba za wiki.sio hivyo mkuu hahaha
Ha ha ha ha ha ha Boya sana dogo embu waombe radhi wanyakyusaa...Unakuwa kama mtumishi wa MUNGU kutoka tukuyu mbeya hahahah
Tuwekee basi picha ya mguu kama mzee mwenzio kiranga tuamini. HahaNavaa jeans siku 6 kati ya Saba za wiki.
Hebu mtagg basi mnyakyusa mmoja aje kukana tuhuma hizi 😀😀😀😀Ha ha ha ha ha ha Boya sana dogo embu waombe radhi wanyakyusaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Mzee kijana sasa hivi naenda 10km joggingTuwekee basi picha ya mguu kama mzee mwenzio kiranga tuamini. Haha
I prefer khaki suits in the style of The Admiralty.Sasa mkuu si ndo leo umevaa jeans?
Siku zingne ni satini ama? Hahahahaha
Ha ha ha ha acha kabisaa aisee nakua kama nahubr Injili barabaran we sio mtu mzur kabisaa yaan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
lakini simaanishi umekuwa kibonge kama kibanda cha mpesa
Ha ha ha na nashukuru Pia hayupo huyu mzee hakosi picha...Asprin angekuwepo angetusaidia na picha
Ahaaa wap ugomvi huo mkubwa sanaHebu mtagg basi mnyakyusa mmoja aje kukana tuhuma hizi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji116]Hawa watu wafuatao ni wavaa suruali waliobobea kunako fani hii..
Ni zile suruali zao zinazong'aa kama bati (satini)
Pia huwa wanavalia suruali tumboni...
Lucas Mobutu
CONTROLA
Nyaru-sare
Daby
Mshana Jr
Kawe Alumni
MKWEPA KODI
Asprin (huyu anavaaga na vinyandu siku nyingine)
Kichwa Kichafu
Ushimen (jina lake tu linasadifu yaliyomo)
Bujibuji
Bonny
Smart911 (huyu mambo yetu huwa anatuachia wenyewe)
RRONDO
troublemaker (huyu ni kijana mzee)
matunduizi (toka enzi za mkoloni yeye ni vitambaa tu)
Hawa ni wachache tu wengine mtaongezea..
hizo tu mzee? Watu tulikimbiza mbwa mpaka akafa kwa kukosa pumzi.. Upo vizuri mzee kijanaMimi Mzee kijana sasa hivi naenda 10km jogging