Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #41
umetisha mzee lakini hii ndo mitoko yako ya kila siku? Hahah[emoji116]View attachment 1365159
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umetisha mzee lakini hii ndo mitoko yako ya kila siku? Hahah[emoji116]View attachment 1365159
Dogo acha dharau...
Alaaa Kumbe nyie ni wazee vijana aseeh haha mzee baba Wewe nawe tiyar upo nje ya case safi sana.. Hahaha
hakika tumeona mkuu upo vizuriMimi nakwenda kwa uthibitisho.
Sitaki longolongo.
Dogo nitatupia picha nimevaa MJ 23 utasema najimwambafy
Ha ha ha ha hzo suruali zako za satini watavaa shemej zako wa Kinyakyusa af hata tukivaa kitambaa bado mikato yetu sio ya midosho....Alaaa Kumbe nyie ni wazee vijana aseeh haha mzee baba Wewe nawe tiyar upo nje ya case safi sana.. Hahaha
braza unawakana nduguzo wa kutoka tukuyu mbeya?? 😀😀😀Ha ha ha ha hzo suruali zako za satini watavaa shemej zako wa Kinyakyusa af hata tukivaa kitambaa bado mikato yetu sio ya midosho....
Sent using Jamii Forums mobile app
tupia nasema, tupiaaaa mzee kaka 😀😀😀Dogo nitatupia picha nimevaa MJ 23 utasema najimwambafy
Dogo nitatupia picha nimevaa MJ 23 utasema najimwambafy
mzee na wewe tumekusahau tupia hapa ukane mashtaka vinginevyo unavaa satini inang'aa kama batiMJ 23 ndo nini? Viatu?
VestMJ 23 ndo nini? Viatu?
Kujimwambafy!Navaa jeans siku 6 kati ya Saba za wiki.