Hawa ndio wapenda kuvaa suruali za vitambaa jf /nguo...

Hawa ndio wapenda kuvaa suruali za vitambaa jf /nguo...

Hawa watu wafuatao ni wavaa suruali waliobobea kunako fani hii..
Ni zile suruali zao zinazong'aa kama bati (satini)
Pia huwa wanavalia suruali tumboni...
Lucas Mobutu
CONTROLA
Nyaru-sare
Daby
Mshana Jr
Kawe Alumni
MKWEPA KODI
Asprin (huyu anavaaga na vinyandu siku nyingine)
Kichwa Kichafu
Ushimen (jina lake tu linasadifu yaliyomo)
Bujibuji
Bonny
Smart911 (huyu mambo yetu huwa anatuachia wenyewe)
RRONDO
troublemaker (huyu ni kijana mzee)
matunduizi (toka enzi za mkoloni yeye ni vitambaa tu)

Hawa ni wachache tu wengine mtaongezea..
Angalia hii ni six pocket bana nitoe hili kundi please
20200222_135904.jpg
20200222_135904.jpg
 
kama ndo hivo ningekuwa nmeshawavuta zamani mzee nipo toka kitamb humu amna wanawake kuna madume basi tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kuna mwaka mmoja hivi niliwahi kujiuliza hivi humu kuna mademu kweli ?

Mimi naona humu hakuna mademu mzee labda leo nimesahihisha mtihani wangu
midume ndo ipo sema tunaishi nayo hivo hivo Kama unavyoona yaaan tunakaa nao humu humu hahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Madume ndio kama sisi hapa
 
Back
Top Bottom