Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia hii ni six pocket bana nitoe hili kundi pleaseHawa watu wafuatao ni wavaa suruali waliobobea kunako fani hii..
Ni zile suruali zao zinazong'aa kama bati (satini)
Pia huwa wanavalia suruali tumboni...
Lucas Mobutu
CONTROLA
Nyaru-sare
Daby
Mshana Jr
Kawe Alumni
MKWEPA KODI
Asprin (huyu anavaaga na vinyandu siku nyingine)
Kichwa Kichafu
Ushimen (jina lake tu linasadifu yaliyomo)
Bujibuji
Bonny
Smart911 (huyu mambo yetu huwa anatuachia wenyewe)
RRONDO
troublemaker (huyu ni kijana mzee)
matunduizi (toka enzi za mkoloni yeye ni vitambaa tu)
Hawa ni wachache tu wengine mtaongezea..
Wame nit-ag pekosiii. Huku SADACC Makao makuu hatuna hizoMkuu si naskia mpaka leo unavaa mchele mchele? Hahah
Me kwa sasa ni Bonge la mnyawezi labda nyie 😀😀😀
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Nimecheka sanaUmemsahau Kiranga
Hahaha.
Kwanini mkuu 😀😀😀😀🤣🤣🤣🤣🤣 we mwana nimtata sana.
nimekutoa mkuu umekana madai yako kwa uthibitisho kabisa 😀😀🙌🙌Angalia hii ni six pocket bana nitoe hili kundi pleaseView attachment 1366211View attachment 1366211
ndiyo ndugu na wa kumuoa amuoe kabisa
Hahaaa, umedata.ndiyo ndugu na wa kumuoa amuoe kabisa
Alafu dogo ulivo kauzu.umewaweka top five watu fulani. pascal mayala ndo alitakiwa hiyo nafasi
yupo huko nyumbani mkuu
Hapo kwa Pasko ndo kwenywNaunga mkono hoja
1. Pasko Mayala
2. Mzee mwanakijiji
3. Mshana junior
4. Mzizi Mkavu
Sent using Jamii Forums mobile app
kama ndo hivo ningekuwa nmeshawavuta zamani mzee nipo toka kitamb humu amna wanawake kuna madume basi tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kuna mwaka mmoja hivi niliwahi kujiuliza hivi humu kuna mademu kweli ?
Mimi naona humu hakuna mademu mzee labda leo nimesahihisha mtihani wangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Madume ndio kama sisi hapamidume ndo ipo sema tunaishi nayo hivo hivo Kama unavyoona yaaan tunakaa nao humu humu hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ulichoshindwa kusema ni kuwa unatuona sisi wazee!
Mafurushi.
kama ndo hivo ningekuwa nmeshawavuta zamani mzee nipo toka kitamb humu amna wanawake kuna madume basi tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mafurushi.