Watu wengi wanajaribu kujiuliza ni kwa nini Mou alifukuzwa kibaruani?
Makocha wakubwa na wachambuzi wakubwa wa soka wanatanabaisha kuwa Mou alikosa 'ufalme ndani ya dressing room'. Mnakumbuka kisa cha Mou na Iker Casillas?
Kirusi kilianza kutoka kwa Diego costa, akafuatia Cesc Fabregas, akafuata Nemanja Matic, akafuata Gary Cahill, akafuata John Terry, akafuata Branslav Ivanovic, akamalizia Eden Hazard !
Sababu ni nini?
Jibu: Kila mmoja ana sababu yake, lakini kubwa kwa Fabregas ni kitendo cha kuwekwa benchi.
====================================
Et tu, Eden: How Chelsea's betrayal of Jose Mourinho actually happened - SBNation.com
====================================
Unaweza kujiuliza ni kwanini Sir Alex Ferguson alikuwa anawauza mastaa wake. Ni kwa nini alikuwa anawapiga hata na viatu? Ni kwa nini Ronaldo ameondoka united akiwa na bifu na Alex? Ni kwa nini kipindi fulani Rooney alitaka kuondoka Man U akiwa chini ya ukocha wa Sir Alex? Ni kwa nini Sir Alex anapenda kuwabwatukia mastaa wake mafunzoni kwa sauti kubwa?
Jibu ni moja tu: Sir Alex Ferguson anaelewa kuwa wachezaji wakianza kuwa wakubwa zaidi ya kocha wao; maana yake ni kuwa atapoteza 'ufalme' wake kwenye dressing room!
Makocha wakubwa na wachambuzi wakubwa wa soka wanatanabaisha kuwa Mou alikosa 'ufalme ndani ya dressing room'. Mnakumbuka kisa cha Mou na Iker Casillas?
Kirusi kilianza kutoka kwa Diego costa, akafuatia Cesc Fabregas, akafuata Nemanja Matic, akafuata Gary Cahill, akafuata John Terry, akafuata Branslav Ivanovic, akamalizia Eden Hazard !
Sababu ni nini?
Jibu: Kila mmoja ana sababu yake, lakini kubwa kwa Fabregas ni kitendo cha kuwekwa benchi.
====================================
Et tu, Eden: How Chelsea's betrayal of Jose Mourinho actually happened - SBNation.com
====================================
Unaweza kujiuliza ni kwanini Sir Alex Ferguson alikuwa anawauza mastaa wake. Ni kwa nini alikuwa anawapiga hata na viatu? Ni kwa nini Ronaldo ameondoka united akiwa na bifu na Alex? Ni kwa nini kipindi fulani Rooney alitaka kuondoka Man U akiwa chini ya ukocha wa Sir Alex? Ni kwa nini Sir Alex anapenda kuwabwatukia mastaa wake mafunzoni kwa sauti kubwa?
Jibu ni moja tu: Sir Alex Ferguson anaelewa kuwa wachezaji wakianza kuwa wakubwa zaidi ya kocha wao; maana yake ni kuwa atapoteza 'ufalme' wake kwenye dressing room!