Nyie watu wanene muwe mnajiangalia kwa kioo mlivyo na miili mibayaThis is bullying sio nzuri huyo dada amefanya kipi kibaya jamani?
Hapo sawa, japo sio sawa sana pia
Siku nikisikia limekufa hili jitu nitafurahi Sana. Ni la hovyo kuliko hata hovyo yenyewe.Kingine ni hiki, vilitumika vigezo gani kuwapata? na inawezekanaje baada ya muda mfupi tu tangu Rais kutamka Kuongozana na Wasanii kwenye Ziara zake na mambo yameanza hapo hapo?
Je tukisema kwamba jambo hili lilikuwepo kabla ya kusemwa tutakuwa tunakosea?
Ifahamike kwamba hatuna uwezo wa kumpangia Rais watu wa kusafiri nao, maana Urais ni wake mwenyewe na watu wake, lakini kwanini tudanganywe, hii ni kwa faida ya nani?
Pia soma
- Zengwe lagubika ziara ya Rais na wasanii; waratibu wadaiwa kufanya mchezo mchafu
View attachment 3005691
Niaje Abdul?Mama Samia kapendeza sana πππ
Muacheni mama yetu. Nampenda sana. Nilikua namchukia mwanzoni. Nikajipa nafasi ya kutafakari. Nikasema HAPANA!
Wakorea na bongo fleva[emoji23]Mkorea gani atanunua Miziki ya Bongo Fleva?! Hayo ni matumizi mabaya ya Fedha zetu tunazolipa Kodi.