Hawa ndio Wasanii walioongozana na Rais ziarani Korea, Je Mnawafahamu na Wameenda kufanya nini?

Siku nikisikia limekufa hili jitu nitafurahi Sana. Ni la hovyo kuliko hata hovyo yenyewe.
 
Chapuchapu Mkorea anakutandika mkopo eti wenye riba nafuu.

Msaada pekee wa muhimu ambao Korea wangetupa ni free scholarship kila mwaka kwa vijana wetu wakutosha hasa kwenye technical studies.
 
Yaan badala ya kuambatana na wanasayansi na waona fursa yeye anabeba hizo takataka za Nini?kwa faida gan kwa nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…