Ulamaa Hemed
Senior Member
- Sep 21, 2012
- 159
- 16
INASIKITISHA KUONA BAADHI YA WASOMI WANA SIFA HIZI
1.Jukwaa la elim wanabishana kuhusu din.
2.Wapo vyuo hawajal masomo wanabishana kuhus kip chuo bora.
3.Mtu akipost jambo akiwe yeye hajalipenda analikashif na kuwakatisha taamaa wenzake wasichangie.
4.Ukimtaka ushaur wa kielim anakuona wewe kilaza.
5.Ukikosea hata neno moja kuliandika utamsikia huyu mbulula ametokea wap? Utadhan yeye anajua kila ki2.
1.Jukwaa la elim wanabishana kuhusu din.
2.Wapo vyuo hawajal masomo wanabishana kuhus kip chuo bora.
3.Mtu akipost jambo akiwe yeye hajalipenda analikashif na kuwakatisha taamaa wenzake wasichangie.
4.Ukimtaka ushaur wa kielim anakuona wewe kilaza.
5.Ukikosea hata neno moja kuliandika utamsikia huyu mbulula ametokea wap? Utadhan yeye anajua kila ki2.