Israel imeikalia Gaza tangu 1948, Hamas imeundwa 2007Nishani faida yake nini? Hivi wewe macho yako hauoni, sbb najua in terms of IQ you are brain washed, but you have eyes huoni how Gaza has gone to hell, if there is a hell on earth today, that is Gaza, wewe unaongelea nishani, that is a dead mind thinking..!!
Fikiria maisha au uhai wa watu kule Gaza, Hamas ni magaidi inafaa wauawe wote hao, Hamas caused all what you see in Gaza, alafu wewe unaongelea nishani, poorest ever human mind…!!
Wazee wa mabikira 70
Hamas imeundwa tokea miaka ya 1980s huko kama sijakoseaIsrael imeikalia Gaza tangu 1948, Hamas imeundwa 2007
vipi kuhusu pembaUislamu ni dini ya marijali, siyo dini ya kubariki mashoga
2006 ndio Israel aliiachia GAZA, ndugu sijui hata unazungumzia vitu ganiHamas imeundwa tokea miaka ya 1980s huko kama sijakosea
Ila wameikalia ghaza mwaka huo uloutaja wa 2007 baada ya kuwa shinda fatah kwenye uchaguzi wa kidemokrasia ila chakushangaza wanaojiita watetezi wa hio demokrasia wakakataa kuutambua ushindi wa hamas
Muelekeze kua vifaa vya idf vilivyo potea ghaza ni full army equipment ya Burundi, Rwanda, Congo DR na South Sudan. Aloo usicheze na Hamas kiboko ya IDF, The Israhell distraction failure.Labda tu kuweka sawa uzi. Mshindi wa vita hii mpaka muda huu kapatikana na anaonekaa.
Hii vita mpaka muda huu Hamasi kashinda bila ya upendeleo.
Hasara za kijeshi kwa IDF ni kubwa mnoo kuliko Za Hamasi
Soma ulichokiandika utajua nazungumzia nn2006 ndio Israel aliiachia GAZA, ndugu sijui hata unazungumzia vitu gani
Umenifurahisha sana na kunipa picha pana ya idadi ya watu wanaostahiki nishani..Huyo namba tano yuko jela lakini ni kichwa kweli wa Palestina,Naomba atoke salama aje kuwa raisi wa Palestina.1. Abu Obaida, Semaji la Masemaji
2. Yousef Bassem, Interview yake na Piers Morgan ilifungua macho wengi
3. Novara media
3. Kuna yanki mmoja naitwa Owen ni muingereza, mchambuzi matata sana
4. Balozi wa Palestina UK, alifanya kazi kubwa
5. Moustafa Barghouti, ni kichwa kilichoacha fikra chanya kwa waandishi wa habari
6. Piers Morgan, japo amelalia upande wa Israel lakini aliwapa airtime pro palestinians
7. Serikali ya South Afrika, kwa kumfunga paka kengele na kupeleka kesi ya genocide ya Israel ddidi ya wapalestina huko the Hague.
8. Freelance media ya The Hill
9. The Young Turks media na mchambuzi wao aitwaye Cenk
Wazayuni ni wauaji waliokubuhu na kupindukiaMwandishi Wael juzi tena kapoteza mtoto wake mkubwa aliyekuwa akifanya kazi hiyo hiyo ya baba yake.
Gari yao ilipigwa kwa makusudi na Israel na kumuua Hamza na wenzake wawili waliokuwa kwenye gari hiyo.
Ingekuwa ni mwandishi mwengine angekuwa tayari nishani yake keshapewa kabla mwaka 2023 kuisha
Hamas ni waislamu waliobobea mafunzo ya dini yao.Wanajua kupigana na kusubiri.Wazayuni ni wauaji waliokubuhu na kupindukia
Njia pekee ya kudeal na mazayuni ni bakora tu
Hamas wangesema waeke silaha chini yangewakuta madhara kuliko haya
Mazayuni ni majitu mashenzi namakatili sanaaaaaaaa
Waliupiga teke hawakuutaka kabsaaaHamas ni waislamu waliobobea mafunzo ya dini yao.Wanajua kupigana na kusubiri.
Wanawajua mayahudi vizuri sana na wana subira isiyokuwa ya kawaida.
Ingekuwa ni wapiganaji wa mlengo wowote mwengine wangekwishasalimu amri kutokana na mzingiro wa jeshi la mayahudi.
Bado utashangaa hata mazungumzo ya kuzungumza na wapatanishi wanachagua sana.Hawamuonei haya Misri wala Qattar japo ni mwenye huruma kwao.Kwa mfano ule mpango wa Misri wa kusitisha vita wa hapa majuzi waliupiga teke kabisa.
Huko gaza ni uharibifu tuu wa majengo na raia kuuliwa hovyo, habari au clip za Hamas kuuliwa hatuzio tunachoona tu ni Hollywood za mmarekani na partner wake IsraelNishani faida yake nini? Hivi wewe macho yako hauoni, sbb najua in terms of IQ you are brain washed, but you have eyes huoni how Gaza has gone to hell, if there is a hell on earth today, that is Gaza, wewe unaongelea nishani, that is a dead mind thinking..!!
Fikiria maisha au uhai wa watu kule Gaza, Hamas ni magaidi inafaa wauawe wote hao, Hamas caused all what you see in Gaza, alafu wewe unaongelea nishani, poorest ever human mind…!!
Malengo makuu ya vita ni mawili na yote hakuna lililotimia.Huko gaza ni uharibifu tuu wa majengo na raia kuuliwa hovyo, habari au clip za Hamas kuuliwa hatuzio tunachoona tu ni Hollywood za mmarekani na partner wake Israel
Uzuri wote tunangalia Tv kawadanganye waislamu wanaoshinda misikitini ambao Huwa hawaangalii Tv iwe Aljazeera nkLabda tu kuweka sawa uzi. Mshindi wa vita hii mpaka muda huu kapatikana na anaonekaa.
Hii vita mpaka muda huu Hamasi kashinda bila ya upendeleo.
Hasara za kijeshi kwa IDF ni kubwa mnoo kuliko Za Hamasi