Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas

Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas

afadhali mkuu hawajakutana na hili janga. ungekuta saivi presha imepanda. tupige kelele itawapa faraja ya wazazi wa hawa watoto na itasaidia kuachiliwa.

inasikitisha sana kwa kwelii.
Hii program huwa ni mwaka mmoja walirudi mwaka jana.

Hapo ni kuomba Mungu wasije wakakatwa vichwa na hamas
 
Kwa jinsi Israel inavyopiga mabomu kila sehemu,huenda wameshauliwa na mabomu ya Israel
swali ni kwamba, eneo lile linakaliwa na watu weupe, hao vijana ni pure african, wanajulikana kabisa kwamba sio waisrael, kwanini waliwakamata? hao nao wamewakosea nini au walikuwa wanakamata kila mtu tu, si wawaachie?
 
Unauza kitimoto, hela umeshika na damu ya kitimoto. Na waislamu wanajua unauza kitimoto.
Ukienda dukani kwake, anakuuzia bidhaa unampa hela ya kitimoto anapokea.
Sasa hivi wanatumia mtandao wa kafiri kutoa maoni yao.
Hatari sana
 
ni rahisi sana, Serikali imwite tu balozi wa palestina imwambie awapigie simu hamas waachie watoto wetu basi. balozi wa palestina yupo hapahapa na alishaomba watanzania tuilaani israel.
Bonge moja la idea aise umetoa nina imani mama atalifanyia kazi
Humu kuna vichwa aise JF
 
na hapohapo mitandao ya Israel inasema vijana wawili wa kitanzania, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga wamekamatwa na hamas, walienda kwenye intenship ya kilimo na hatujasikia lolote toka serikalini kama wananegotiate au wanawasaidiaje au wameachwa hukohuko wafe.
Kwa serikali hii ambayo wateule wa rais wapo busy kupokea maagizo kutoka kwa katibu mwenezi wa chama tusitegemee jitihada zozote.

Balozi wa palestina yupo hapo mjini wanaogopa hata kumfuata.

Hii nchi ni yatima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.

Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.
Unaongea kirahisi kwa sababu sio ndugu zako kiimani
 
Kwani waisrael wameua wangapi kama maelf na maelf ya watu
Wapelestina ni sawa na boko haramu, Al shabab au Islamic State.
Haya makundi ya kigaidi yanayotumia majina ya kiislamu, kwanini huwa hawaandamani kupinga?
Magaidi hutumia raia kama ngao, umeenda kuua na kuchukua mateka umeenda nao Gaza. Israel wametangaza Vita. Kwanini hao HAMAS wasiende Frontline kupigana na majeshi ya Israel? Baadala yake wamekimbilia shimoni km nyoka.
Bado umeshikilia mateka halafu unahisi km unafanyiwa ukatili? Israel imeenda kuwakomboa mateka kimabavu
 
Kuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.

Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.
Ila wewe bibi una stori za uongo sana
 
Dah vijana wadogo sana walienda kusoma na wangekuja kuwa experts wazuri na kuinua uchumi wa nchi yetu pitia kilimo. Mungu wasaidie vijana wetu warudi salama.
Kwamba Tz hatujawahi kuwa na hao experts?
 
Bonge moja la idea aise umetoa nina imani mama atalifanyia kazi
Humu kuna vichwa aise JF
yaani ni rahisi sana. unajua Kiongozi wa Hamas haishi Gaza, anaishi Qatar ana ofisi kabisa, na anaoperate na kutoa maelekezo yote akiwa Doha Qatar, hata mateka hao walioachiwa yeye lazima ndio alitoa maelekezo, na negotiations zote za mateka kuachiwa hata sasahivi zinaendelea na mediator ambaye ni Qatar. Balozi wa palestina hawezi kusema Hamas hawapatikani kwenye simu kwasababu ukipiga simu Doha hata sasahivi zinapatikana, au Balozi wetu aliyepo Qatar awashe tu gari aende kwa kiongozi wa hamas, amwambie chondechonde hao madogo hawahusiki na mgogoro, na sio wayahudi, ni masai na mchaga. hivi hawaoni hata aibu Africa miaka yote imekuwa supporter wa Palestine na bado wameteka watoto wao?
 
Kuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.

Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.
1. Mbona ulishangilia kipindi ndugu zako wameenda kuua na kuchukua mateka? Tena ulitoa uzi kbs
2. Hao mateka wawili wa kitanzania, wametekwa na Israel?
Nyie ni kawaida yenu kwa unafiki. Sasa hivi waislamu na waislamu hawaelewani kuhusu Bakwata
 
balozi wa palestina anasapoti hamas, sisi hatutaki kuingilia kati ugomvi wao, tunachotaka, kama vile ambayo yeye na mabalozi wenzake wa palestina wengiii wamekuwa wakihitaji sapoti yetu kuilaani israel mara kwa mara, atusaidie, apige tu simu kwa Ismail Haniyeh kiongozi wa Hamas, anaishi pale Qatar, amwambie awaachie hao watanzania wawili kama vile alivyowaachia waisrael wawili juzi. la sivyo siku nyingine asije kulialia kwetu kuomba tumpige sapoti.
Yaani kiongozi yuko Qatar?
 
yaani ni rahisi sana. unajua Kiongozi wa Hamas haishi Gaza, anaishi Qatar ana ofisi kabisa, na anaoperate na kutoa maelekezo yote akiwa Doha Qatar, hata mateka hao walioachiwa yeye lazima ndio alitoa maelekezo, na negotiations zote za mateka kuachiwa hata sasahivi zinaendelea na mediator ambaye ni Qatar. Balozi wa palestina hawezi kusema Hamas hawapatikani kwenye simu kwasababu ukipiga simu Doha hata sasahivi zinapatikana, au Balozi wetu aliyepo Qatar awashe tu gari aende kwa kiongozi wa hamas, amwambie chondechonde hao madogo hawahusiki na mgogoro, na sio wayahudi, ni masai na mchaga. hivi hawaoni hata aibu Africa miaka yote imekuwa supporter wa Palestine na bado wameteka watoto wao?
point nyingine hii aise i wish mama aione na washauri wake washughulikie.
 
1. Mbona ulishangilia kipindi ndugu zako wameenda kuua na kuchukua mateka? Tena ulitoa uzi kbs
2. Hao mateka wawili wa kitanzania, wametekwa na Israel?
Nyie ni kawaida yenu kwa unafiki. Sasa hivi waislamu na waislamu hawaelewani kuhusu Bakwata
kinachomfanya awe bubu katika hili ni kwasababu hao vijana wote wawili ni wagalatia. kwake hawana thamani.
 
Back
Top Bottom