Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Astaghfirwanallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja tuone wavaa kobaz wa tanzania kama wataandamana ili watanzania hawa ambao kwao ni makafir waachiwe au wana uchungu na wapalestina peke yake.
asttaghfirwanallh nini sasa ndugu, ni astaga..ya hao watanzania wawili waliokamatwa na hamas, au astagafurahi kwa hao hamas ndugu zako katika imani?Astaghfirwanallah
ubalozi wao upo hapa na mashambulizi yalivyoanza juzi alitoa wito watanzania walaani mashambulizi ya israel. hamas ni chama na ni viongozi wenzake serikalini, awapigie tu simu wawaachie watanzania kabla hatujapigia mstari kwamba aidha hajawasaidia kwasababu watanzania hao ni wakristo wote wawili na pengine ndio sababu ya kushikiliwa na magaidi ya hamas au pengine hathamini watanzania anataka tu watanznaia wawathamini wapalestina. hana shukran manake.Balozi yao siipo hapa kwann wasiambiwe wawapigie simu hao Hamas wawaachie ndugu zetu,,,hawahusiki hao na ugomvi wao
ngoja tuone wavaa kobaz wa tanzania kama wataandamana ili watanzania hawa ambao kwao ni makafir waachiwe au wana uchungu na wapalestina peke yake.
Kuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.Joshua Loitu Mollel and Clemence Felix
wapalestina wa buza na wakomonisti wa mbweni waambieni vijana wenu wa itikadi kali wawaachilie hawa vijana au mnaendelea kusupport hata huu ujinga.
View attachment 2796985
BBT.Walikuwa wanaishu gani huko.
BBT ni nini mkuu.BBT.
Watu tukisema Gaza ipigwe mpaka igeuke kifusi wasijali vitoto maana navyo vitakua vigaidi huko mbeleni.Israeli iwapelekee moto hao wazee wangese walio shindwa kuwakataza vijana wao kuchezea mzinga wa nyuki huku hawajajiandaazaidi ya yote umeshikilia hadi watanzania ambao hata hawajakupora ardhi, wabongo masikini kabisa walioenda kujifunza kilimo na walipelekwa na serikali. hao ndio wapalestina, mioyo yao halisi ndio hiyo.hawana rafiki. kweli uende israel ukute mtu ana sura nyeusiii ya kimasai pale tena katoto kanaonekana hata hakajaenda hata jeshini na hakuna mamluki israel, ukakakamata na kukateka? kaafrika kabisa, kana shida gani na wapalestina?
Kwani waisrael wameua wangapi kama maelf na maelf ya watuWanauchungu na ndugu zao katika Imani hao makafir watakwambia wafe tu tena wachinjwe wakiwa wameelekezwa kibra,
Duh mwaka juzi wanangu 6 walienda huko 🇮🇱 kwa program hii hii
Unauza kitimoto, hela umeshika na damu ya kitimoto. Na waislamu wanajua unauza kitimoto.Ni kama vile navyouza kitimoto halafu nalipa Kodi inayoenda kuwatibu hospital
Ajuza rafiki yangu, Hamas wameteka Watanzania wawili, wanafunzi walipelekwa na serikali kwenda kufanya internship kwenye kilimo, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga, hawa wote ni wakristo, mmoja mmasai mwingine mchaga. unasemaje, tuandamane ili hamas wawaachie? au, balozi wa palestina si yupo hapahapa bongo, wewe kama ndugu yake katika imani huwezi kwenda kuongea naye awapigie simu viongozi wa Hamas Qatar kwamba wawaachie hao watoto wawili warudi?Kuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.
Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.
AstaghfirwanallahKuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.
Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.