Man Middo tz
Senior Member
- Sep 9, 2020
- 182
- 279
Punguza makasiriko, itakua limekupata! Relax una ulete ushuhuda wako apaMpo likizo Mnaiba infinix za dada zenu mnapost pumba
Mbona vibonge sasa, wembamba atuchukue nani [emoji17]Hamlazimishwi banaa...tuachieni vibonge wetu, tunawamudu wenyewe.
Hahaha Kwa kuzingatia picha ya mtoa mada.Mbona vibonge sasa, wembamba atuchukue nani [emoji17]
Asantee [emoji1787][emoji1787]Hahaha Kwa kuzingatia picha ya mtoa mada.
Hata Ivo nanyie wembamba ni wasupu Mahali penu na mwafaaa haswaa.
What!!Kuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi
Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum
Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,
Karibuuu babyAsantee [emoji1787][emoji1787]
JamaniKuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi
Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum
Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,
chizcom na Kambi ya FisiKwenye picha uyo wakiume kama sio mzabzab Basi atakua ni Behaviourist
Maana hao ndo watu maarufu humu MMU kwa kupenda sana chura[emoji4]
Kuna cha love connected hapo Huyo dogo katekwa kibabe hahahaaaa
Hizo mbaya zinakuwaje[emoji849]Mpaka mtu anaenda love connect jua lipo tatizo[emoji1787][emoji1787]
Yaani Kuna pisi ni mbaya aise
[emoji23][emoji23]jamani!Kuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi
Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum
Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,