Hawa ndio watu wa ‘Love Connect’

Hawa ndio watu wa ‘Love Connect’

Man Middo tz

Senior Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
182
Reaction score
279
Hiki ndio huwa kinawatokea watu wengi kwenye love connect sema hawataki kusema ukweli [emoji1427]

Tunaomba shuhuda zenu Tafadhali [emoji1427][emoji848]

1671884158150.jpg
 
Kuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi

Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum

Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,
 
Kuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi

Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum

Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,
What!!
 
Kuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi

Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum

Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,
Jamani
 
Kuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi

Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum

Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,
[emoji23][emoji23]jamani!
 
Back
Top Bottom