Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ningekua kwny handaki usingeniona...Bila shaka sasa hivi upo kwenye handaki
Mm sina cha kujificha Simba still ni jayanti 🙂 kwa miaka 5 mbele ijayo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekua kwny handaki usingeniona...Bila shaka sasa hivi upo kwenye handaki
Jayanti ya ku failNingekua kwny handaki usingeniona...
Mm sina cha kujificha Simba still ni jayanti 🙂 kwa miaka 5 mbele ijayo..
Acha wee [emoji8]Ningekua kwny handaki usingeniona...
Mm sina cha kujificha Simba still ni jayanti 🙂 kwa miaka 5 mbele ijayo..
Ndo habari ya uhakika
KAMATI YA ROHO MBAYA HIYONaam kumekuwa na propaganda za hapa na pale, za chini chini na za juu juu, zikisambazwa na wanasimba Lia Lia.
Hiyo inatokana baada yakuona timu yao aka chuo Cha wastaafu Simba ikiipunga mkono wa baibai kwenye mbio zakuwania ubingwa wa NBC PL mwaka huu.
Nimepitia nyuzi zao mpaka nikacheka Sana halafu wapo serious na propaganda zao ukizisoma kwa umakini unaweza kudhani yanga wamekwisha jinsi wanavyoandika Mambo pamoja na ushahidi wakubumna juu.
Sasa leo nimeamua kuwataja pamoja na nyuzi zao ili mashabiki wa yanga mnapoona nyuzi zao msiogope.
1. Mshana Jr huyu ni mwansimba anauzi wake unaitwa "jezi ya yanga ni nzito" ukisoma yaliyomo unaweza kuogopa kabisa maana anakuambia msimu huu yanga Wana bahati mbaya sana.
2.@GENTAMYCINE huyu mwamba humuelezi kitu chochote Mambo ya yanga pamoja na mikataba yao Ana habari nyeti za ndani kabisa kuhusu yanga, ukisoma nyuzi zake unaweza kudhani ni ukweli kumbe ni mzee wa propaganda anawajaza nyembe mashabiki wa yanga.
Toka juzi mpaka Jana ameandika takribani nyuzi elfu moja kuhusu yanga na feitotoo.
3.@DullyJr huyu ni mdogo wake na mwamba gentamycine huwa anashupaza Sana shingo nakutoa povu anaposambaza propaganda zakuisema yanaga.
Ana uzi wake huko unaeleza kwa Nini feisal kaamua kuondoka yanga.
Eti anakuambia kwa sababu alikua anapewa koti kubwa avae pamoja na miwani yakuchomelea.
Yaani ukisoma nyuzi zake unaweza kupaniki kumbe mwamba yupo kazini akipushi agenda ziwachanganye akili wananchi.
4 OKW BOBAN SUNZU huyu mwamba nae yupo vizuri katika suala la propaganda, ukitaka mkataba wa Aziz ki, huyu mwamba anao. Ana uzi wake kaandika ukisema "mpaka Sasa Aziz ki mkataba wake haujalipa.
Yupo vizuri Sana kwenye kuandaa nondo za propaganda ili kuwa toa kwenye RELI mashabiki wa yanga.
Wapo wengi hao ni wachache niliowaorodhesha hapo, mpaka Sasa wejikausha hakuna aliyeandika uzi wakuisifu Simba juu ya ujio wa saidoo ntibazonkiza na usajili wa inonga Bali wamegeukia kumlaumu kipa wa azamu kuwa no mzembe hawezi kazi bila kusahau kuwa walishindwa kumfunga na uzembe wake.
NO FEISAL NO PROBLEM VIMBA MWANA YANGA VIMBA.
Najua unajua sihitaji kukujuza zaidiJayanti ya ku fail
[emoji23] mbona umeongea kwa hasira sana.Najua unajua sihitaji kukujuza zaidi
Lakini huyu Kibu si ndio aliyepiga mshale juzi hapa?
Kama kapiga mshale ndiyo mmechukua kombeLakini huyu Kibu si ndio aliyepiga mshale juzi hapa?
Matokeo yalikuwa Simba 2 - 0 YangaKama kapiga mshale ndiyo mmechukua kombe. Au ana magoli mangapi huyo
Onesheni kombe [emoji23]Matokeo yalikuwa Simba 2 - 0 Yanga
Hujanijibu huyo kibu kawaletea makombe mangapi??
Yanga ni watu wanaoweza kujitoa mhanga wakajilipua mabomu kwa ajili ya Mayelle!!Ukiwakuta wana yanga wanaielezea timu yao, unaweza ukadhani Ile Barca ya pep inafungwa 4-0 na yanga
Na ukiwakuta simba wanavyomsifia chama unaweza kusema ni Lionel mess kashuka TanzaniaYanga ni watu wanaoweza kujitoa mhanga wakajilipua mabomu kwa ajili ya Mayelle!!
Yaani wao wanaona hata leo hii wakitokea hawa Man City watawafunga tatu kavu kama wafuasi wa Makenzie!!
Acha wewe. Yule mliyesema keshachoka??Na ukiwakuta simba wanavyomsifia chama unaweza kusema ni Lionel mess kashuka Tanzania
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app