Hawa ndiyo JF members wazee wa nongwa

Hawa ndiyo JF members wazee wa nongwa

okwi BOBAN SUNZU

Hii kolo inachekesha sana ......up to know imeukimbia uzi wake ule wa " Nani mkali kati ya KIBU DENIS VS MAYELE[emoji38][emoji38][emoji38]
Huo uzi ni mwiba Sana kwake hataki hata kuuona[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wewe hujasikia maneno ya hivi vilabu bado, siku ukupata muda pita kwenye makao makuu ya hivi vilabu viwili ukutane na wale wanazi wanaongea hao...
 
"Yanga inaweza kuwa na msimu mbaya kuliko mingine yote katika historia yake tangu kuanzishwa kwakwe"


Mkuu hayo ni maneno yako nimenukuu kutoka kwenye uzi wako ule.
NALIA NGWENA unakifahamu Kiswahili vizuri?
Nakuwekea aya nzima ya nilichoandika

Yanga inaweza kuwa na msimu mbaya kuliko mingine yote katika historia yake tangu kuanzishwa kwakwe.. Nimetumia neno INAWEZA kwakuwa bado ina nafasi ya kufanya jambo
 
Naam kumekuwa na propaganda za hapa na pale, za chini chini na za juu juu, zikisambazwa na wanasimba Lia Lia.

Hiyo inatokana baada yakuona timu yao aka chuo Cha wastaafu Simba ikiipunga mkono wa baibai kwenye mbio zakuwania ubingwa wa NBC PL mwaka huu.

Nimepitia nyuzi zao mpaka nikacheka Sana halafu wapo serious na propaganda zao ukizisoma kwa umakini unaweza kudhani yanga wamekwisha jinsi wanavyoandika Mambo pamoja na ushahidi wakubumna juu.
Sasa leo nimeamua kuwataja pamoja na nyuzi zao ili mashabiki wa yanga mnapoona nyuzi zao msiogope.

1. Mshana Jr huyu ni mwansimba anauzi wake unaitwa "jezi ya yanga ni nzito" ukisoma yaliyomo unaweza kuogopa kabisa maana anakuambia msimu huu yanga Wana bahati mbaya sana.

2.@GENTAMYCINE huyu mwamba humuelezi kitu chochote Mambo ya yanga pamoja na mikataba yao Ana habari nyeti za ndani kabisa kuhusu yanga, ukisoma nyuzi zake unaweza kudhani ni ukweli kumbe ni mzee wa propaganda anawajaza nyembe mashabiki wa yanga.

Toka juzi mpaka Jana ameandika takribani nyuzi elfu moja kuhusu yanga na feitotoo.

3.@DullyJr huyu ni mdogo wake na mwamba gentamycine huwa anashupaza Sana shingo nakutoa povu anaposambaza propaganda zakuisema yanaga.

Ana uzi wake huko unaeleza kwa Nini feisal kaamua kuondoka yanga.
Eti anakuambia kwa sababu alikua anapewa koti kubwa avae pamoja na miwani yakuchomelea.

Yaani ukisoma nyuzi zake unaweza kupaniki kumbe mwamba yupo kazini akipushi agenda ziwachanganye akili wananchi.

4@OKW BOBAN SUNZU huyu mwamba nae yupo vizuri katika suala la propaganda, ukitaka mkataba wa Aziz ki, huyu mwamba anao. Ana uzi wake kaandika ukisema "mpaka Sasa Aziz ki mkataba wake haujalipa.
Yupo vizuri Sana kwenye kuandaa nondo za propaganda ili kuwa toa kwenye RELI mashabiki wa yanga.

Wapo wengi hao ni wachache niliowaorodhesha hapo, mpaka Sasa wejikausha hakuna aliyeandika uzi wakuisifu Simba juu ya ujio wa saidoo ntibazonkiza na usajili wa inonga Bali wamegeukia kumlaumu kipa wa azamu kuwa no mzembe hawezi kazi bila kusahau kuwa walishindwa kumfunga na uzembe wake.

NO FEISAL NO PROBLEM VIMBA MWANA YANGA VIMBA.
Dah! Wazee wa nongwa ni hatari sana.
 
Naam kumekuwa na propaganda za hapa na pale, za chini chini na za juu juu, zikisambazwa na wanasimba Lia Lia.

Hiyo inatokana baada yakuona timu yao aka chuo Cha wastaafu Simba ikiipunga mkono wa baibai kwenye mbio zakuwania ubingwa wa NBC PL mwaka huu.

Nimepitia nyuzi zao mpaka nikacheka Sana halafu wapo serious na propaganda zao ukizisoma kwa umakini unaweza kudhani yanga wamekwisha jinsi wanavyoandika Mambo pamoja na ushahidi wakubumna juu.
Sasa leo nimeamua kuwataja pamoja na nyuzi zao ili mashabiki wa yanga mnapoona nyuzi zao msiogope.

1. Mshana Jr huyu ni mwansimba anauzi wake unaitwa "jezi ya yanga ni nzito" ukisoma yaliyomo unaweza kuogopa kabisa maana anakuambia msimu huu yanga Wana bahati mbaya sana.

2.@GENTAMYCINE huyu mwamba humuelezi kitu chochote Mambo ya yanga pamoja na mikataba yao Ana habari nyeti za ndani kabisa kuhusu yanga, ukisoma nyuzi zake unaweza kudhani ni ukweli kumbe ni mzee wa propaganda anawajaza nyembe mashabiki wa yanga.

Toka juzi mpaka Jana ameandika takribani nyuzi elfu moja kuhusu yanga na feitotoo.

3.@DullyJr huyu ni mdogo wake na mwamba gentamycine huwa anashupaza Sana shingo nakutoa povu anaposambaza propaganda zakuisema yanaga.

Ana uzi wake huko unaeleza kwa Nini feisal kaamua kuondoka yanga.
Eti anakuambia kwa sababu alikua anapewa koti kubwa avae pamoja na miwani yakuchomelea.

Yaani ukisoma nyuzi zake unaweza kupaniki kumbe mwamba yupo kazini akipushi agenda ziwachanganye akili wananchi.

4@OKW BOBAN SUNZU huyu mwamba nae yupo vizuri katika suala la propaganda, ukitaka mkataba wa Aziz ki, huyu mwamba anao. Ana uzi wake kaandika ukisema "mpaka Sasa Aziz ki mkataba wake haujalipa.
Yupo vizuri Sana kwenye kuandaa nondo za propaganda ili kuwa toa kwenye RELI mashabiki wa yanga.

Wapo wengi hao ni wachache niliowaorodhesha hapo, mpaka Sasa wejikausha hakuna aliyeandika uzi wakuisifu Simba juu ya ujio wa saidoo ntibazonkiza na usajili wa inonga Bali wamegeukia kumlaumu kipa wa azamu kuwa no mzembe hawezi kazi bila kusahau kuwa walishindwa kumfunga na uzembe wake.

NO FEISAL NO PROBLEM VIMBA MWANA YANGA VIMBA.
Hapa mnaongoza lakini maneno yanawatisha kweli. HEBU JIAMIMINI SOKA LA TANZANIA MWENZIE FUJO.
 
Bila hzi propaganda mpira haunogi hii sio jumuiya ya mtktf katarina wa sienna iwe ni kusifia tuu.. na hii ndo inaleta raha ya utani wa jadi...mpira una ups and down kuna nyakati mtu unatamani hata ujifiche chini ya handaki mashabiki wakikuamulia..mpira una uongo mwingiii...
Bila shaka sasa hivi upo kwenye handaki
 
Back
Top Bottom