NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
Huyo sijui alitikomea wapi Simba lialianjaakalihatari huyu jamaa alifia wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo sijui alitikomea wapi Simba lialianjaakalihatari huyu jamaa alifia wapi
NALIA NGWENA unakifahamu Kiswahili vizuri?"Yanga inaweza kuwa na msimu mbaya kuliko mingine yote katika historia yake tangu kuanzishwa kwakwe"
Mkuu hayo ni maneno yako nimenukuu kutoka kwenye uzi wako ule.
Uzi ulishapitwa na wakati. Tatizo lenu hamuendi na wakatiHuyo ni OKW BOBAN SUNZU [emoji16][emoji16][emoji16]
Dah! Wazee wa nongwa ni hatari sana.Naam kumekuwa na propaganda za hapa na pale, za chini chini na za juu juu, zikisambazwa na wanasimba Lia Lia.
Hiyo inatokana baada yakuona timu yao aka chuo Cha wastaafu Simba ikiipunga mkono wa baibai kwenye mbio zakuwania ubingwa wa NBC PL mwaka huu.
Nimepitia nyuzi zao mpaka nikacheka Sana halafu wapo serious na propaganda zao ukizisoma kwa umakini unaweza kudhani yanga wamekwisha jinsi wanavyoandika Mambo pamoja na ushahidi wakubumna juu.
Sasa leo nimeamua kuwataja pamoja na nyuzi zao ili mashabiki wa yanga mnapoona nyuzi zao msiogope.
1. Mshana Jr huyu ni mwansimba anauzi wake unaitwa "jezi ya yanga ni nzito" ukisoma yaliyomo unaweza kuogopa kabisa maana anakuambia msimu huu yanga Wana bahati mbaya sana.
2.@GENTAMYCINE huyu mwamba humuelezi kitu chochote Mambo ya yanga pamoja na mikataba yao Ana habari nyeti za ndani kabisa kuhusu yanga, ukisoma nyuzi zake unaweza kudhani ni ukweli kumbe ni mzee wa propaganda anawajaza nyembe mashabiki wa yanga.
Toka juzi mpaka Jana ameandika takribani nyuzi elfu moja kuhusu yanga na feitotoo.
3.@DullyJr huyu ni mdogo wake na mwamba gentamycine huwa anashupaza Sana shingo nakutoa povu anaposambaza propaganda zakuisema yanaga.
Ana uzi wake huko unaeleza kwa Nini feisal kaamua kuondoka yanga.
Eti anakuambia kwa sababu alikua anapewa koti kubwa avae pamoja na miwani yakuchomelea.
Yaani ukisoma nyuzi zake unaweza kupaniki kumbe mwamba yupo kazini akipushi agenda ziwachanganye akili wananchi.
4@OKW BOBAN SUNZU huyu mwamba nae yupo vizuri katika suala la propaganda, ukitaka mkataba wa Aziz ki, huyu mwamba anao. Ana uzi wake kaandika ukisema "mpaka Sasa Aziz ki mkataba wake haujalipa.
Yupo vizuri Sana kwenye kuandaa nondo za propaganda ili kuwa toa kwenye RELI mashabiki wa yanga.
Wapo wengi hao ni wachache niliowaorodhesha hapo, mpaka Sasa wejikausha hakuna aliyeandika uzi wakuisifu Simba juu ya ujio wa saidoo ntibazonkiza na usajili wa inonga Bali wamegeukia kumlaumu kipa wa azamu kuwa no mzembe hawezi kazi bila kusahau kuwa walishindwa kumfunga na uzembe wake.
NO FEISAL NO PROBLEM VIMBA MWANA YANGA VIMBA.
[emoji16][emoji16]Uzi ulishapitwa na wakati. Tatizo lenu hamuendi na wakati
Hapa mnaongoza lakini maneno yanawatisha kweli. HEBU JIAMIMINI SOKA LA TANZANIA MWENZIE FUJO.Naam kumekuwa na propaganda za hapa na pale, za chini chini na za juu juu, zikisambazwa na wanasimba Lia Lia.
Hiyo inatokana baada yakuona timu yao aka chuo Cha wastaafu Simba ikiipunga mkono wa baibai kwenye mbio zakuwania ubingwa wa NBC PL mwaka huu.
Nimepitia nyuzi zao mpaka nikacheka Sana halafu wapo serious na propaganda zao ukizisoma kwa umakini unaweza kudhani yanga wamekwisha jinsi wanavyoandika Mambo pamoja na ushahidi wakubumna juu.
Sasa leo nimeamua kuwataja pamoja na nyuzi zao ili mashabiki wa yanga mnapoona nyuzi zao msiogope.
1. Mshana Jr huyu ni mwansimba anauzi wake unaitwa "jezi ya yanga ni nzito" ukisoma yaliyomo unaweza kuogopa kabisa maana anakuambia msimu huu yanga Wana bahati mbaya sana.
2.@GENTAMYCINE huyu mwamba humuelezi kitu chochote Mambo ya yanga pamoja na mikataba yao Ana habari nyeti za ndani kabisa kuhusu yanga, ukisoma nyuzi zake unaweza kudhani ni ukweli kumbe ni mzee wa propaganda anawajaza nyembe mashabiki wa yanga.
Toka juzi mpaka Jana ameandika takribani nyuzi elfu moja kuhusu yanga na feitotoo.
3.@DullyJr huyu ni mdogo wake na mwamba gentamycine huwa anashupaza Sana shingo nakutoa povu anaposambaza propaganda zakuisema yanaga.
Ana uzi wake huko unaeleza kwa Nini feisal kaamua kuondoka yanga.
Eti anakuambia kwa sababu alikua anapewa koti kubwa avae pamoja na miwani yakuchomelea.
Yaani ukisoma nyuzi zake unaweza kupaniki kumbe mwamba yupo kazini akipushi agenda ziwachanganye akili wananchi.
4@OKW BOBAN SUNZU huyu mwamba nae yupo vizuri katika suala la propaganda, ukitaka mkataba wa Aziz ki, huyu mwamba anao. Ana uzi wake kaandika ukisema "mpaka Sasa Aziz ki mkataba wake haujalipa.
Yupo vizuri Sana kwenye kuandaa nondo za propaganda ili kuwa toa kwenye RELI mashabiki wa yanga.
Wapo wengi hao ni wachache niliowaorodhesha hapo, mpaka Sasa wejikausha hakuna aliyeandika uzi wakuisifu Simba juu ya ujio wa saidoo ntibazonkiza na usajili wa inonga Bali wamegeukia kumlaumu kipa wa azamu kuwa no mzembe hawezi kazi bila kusahau kuwa walishindwa kumfunga na uzembe wake.
NO FEISAL NO PROBLEM VIMBA MWANA YANGA VIMBA.
Hakuna anayetishikaHapa mnaongoza lakini maneno yanawatisha kweli. HEBU JIAMIMINI SOKA LA TANZANIA MWENZIE FUJO.
Hawawezi kuja kuandika utumbo wao tenaAiseeeeeeeehhhhh
Saivi wapo chimbo sijui watakuja na Maneno ganiDah! Wazee wa nongwa ni hatari sana.
Umepitwaje na wakati mzeeUzi ulishapitwa na wakati. Tatizo lenu hamuendi na wakati
Mpaka Sasa una Cha kuhojiUkiwakuta wana yanga wanaielezea timu yao, unaweza ukadhani Ile Barca ya pep inafungwa 4-0 na yanga
Uto hakuna kitu mzee, ndiomaana wako shirikisho
Nyinyi wenye kitu saivi mpo wapi??Uto hakuna kitu mzee, ndiomaana wako shirikisho
Unajua mtu aliyeishia robo fainali cl anapata sh ngapi na aliyeko nusu luza kapu anapata sh ngapi?Nyinyi wenye kitu saivi mpo wapi??
Hili kombe la luzaz Kama mnavyoliita mmelichukua Mara ngapi???
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwani yanga imeishia nusu ??Unajua mtu aliyeishia robo fainali cl anapata sh ngapi na aliyeko nusu luza kapu anapata sh ngapi?
Hata awe bingwa
Bila shaka sasa hivi upo kwenye handakiBila hzi propaganda mpira haunogi hii sio jumuiya ya mtktf katarina wa sienna iwe ni kusifia tuu.. na hii ndo inaleta raha ya utani wa jadi...mpira una ups and down kuna nyakati mtu unatamani hata ujifiche chini ya handaki mashabiki wakikuamulia..mpira una uongo mwingiii...
Ungeweka expire dateUzi ulishapitwa na wakati. Tatizo lenu hamuendi na wakati