gonamwitu JF-Expert Member Joined Feb 16, 2018 Posts 2,187 Reaction score 2,794 Aug 3, 2023 #21 Asprin said: Ah sasa kwani mzee wa kutetema huo mshahara analipwa hapa kwa Samia? Hapa kwa Mwigulu nadhani anayelipwa mzigo mkubwa kuliko wote ni Azizi Ki... wambea wanasema analamba 21m kwa mwezi. Click to expand... no ahmada wa azam 50m per month
Asprin said: Ah sasa kwani mzee wa kutetema huo mshahara analipwa hapa kwa Samia? Hapa kwa Mwigulu nadhani anayelipwa mzigo mkubwa kuliko wote ni Azizi Ki... wambea wanasema analamba 21m kwa mwezi. Click to expand... no ahmada wa azam 50m per month
This is... JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 5,050 Reaction score 5,204 Aug 3, 2023 #22 Kichuguu said: Huo ni mshahara kwa Wiki, sasa sijui ni kwa wiki zote 52 au ni wiki zile za michezo tu; hata hivyo ni hela nyingi sana. Acha wafaidi vipaji vyao. Click to expand... siyo vipaji kazi zao!
Kichuguu said: Huo ni mshahara kwa Wiki, sasa sijui ni kwa wiki zote 52 au ni wiki zile za michezo tu; hata hivyo ni hela nyingi sana. Acha wafaidi vipaji vyao. Click to expand... siyo vipaji kazi zao!