Hawa ndiyo walikuwa viongozi vinara kwenye utawala wa Awamu ya Tano

Hawa ndiyo walikuwa viongozi vinara kwenye utawala wa Awamu ya Tano

Tujikumbushe majembe ya awamu ya 5. Kuna waliowapenda na kuna waliowachukia ila wafuatao walikuwa ndo majembe ya awamu ya 5;

1. JPM himself
2. Paul Makonda
3. Biswalo
4. Job Ndugai
5. Ole Sabaya
6. Ally Hapi
7. Mnyeti
8. Kalemani
9. Dotto
10. Ngusa

Ongezea niliowasahau.
Na hao wote wanatembelea ringi saa hii.
 
Tujikumbushe majembe ya awamu ya 5. Kuna waliowapenda na kuna waliowachukia ila wafuatao walikuwa ndo majembe ya awamu ya 5;

1. JPM himself
2. Paul Makonda
3. Biswalo
4. Job Ndugai
5. Ole Sabaya
6. Ally Hapi
7. Mnyeti
8. Kalemani
9. Dotto
10. Ngusa
11. Gambo.
12. Polepole .
13. Dr. Bashiru.
14. Prof. Kabudi.
15. Musiba (huyu hakuwa kiongozi ila alikuwa na nguvu kuliko viongozi karibu wote.. alikuwa na uwezo wa kumtukana mtu yeyote na asiguswe)

Ongezea niliowasahau.
So what
 
Umemsahau aliyekuwa rat ! 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom