Na hao wote wanatembelea ringi saa hii.Tujikumbushe majembe ya awamu ya 5. Kuna waliowapenda na kuna waliowachukia ila wafuatao walikuwa ndo majembe ya awamu ya 5;
1. JPM himself
2. Paul Makonda
3. Biswalo
4. Job Ndugai
5. Ole Sabaya
6. Ally Hapi
7. Mnyeti
8. Kalemani
9. Dotto
10. Ngusa
Ongezea niliowasahau.
Definition ya kuwa na maisha bora ni ipi?Na bado wote wanamaisha bora kuliko wewe na ukoo wako na wako kwenye system bado!
Asante mkuu. Naongeza haya majinaUmewasahau :-
1. Mrisho Gambo.
2. Polepole .
3. Dr. Bashiru.
4. Prof. Kabudi.
Hakuwa katiliDr Mpango
Usijisahaulishe πππ
Sema kuna yule manzi alicheza nae alikuwa kifaa kwelikweliKangi Lugola alikata hadi vibuno ilimradi amfurahishe mzee pombe
So whatTujikumbushe majembe ya awamu ya 5. Kuna waliowapenda na kuna waliowachukia ila wafuatao walikuwa ndo majembe ya awamu ya 5;
1. JPM himself
2. Paul Makonda
3. Biswalo
4. Job Ndugai
5. Ole Sabaya
6. Ally Hapi
7. Mnyeti
8. Kalemani
9. Dotto
10. Ngusa
11. Gambo.
12. Polepole .
13. Dr. Bashiru.
14. Prof. Kabudi.
15. Musiba (huyu hakuwa kiongozi ila alikuwa na nguvu kuliko viongozi karibu wote.. alikuwa na uwezo wa kumtukana mtu yeyote na asiguswe)
Ongezea niliowasahau.
Udini unakusumbua. Hivi huwa mnafunga unafiki tu? Ndo maana Netanyahu anawatwanga tuAcha kulilia watu mtandaoni.
Dijeeiiii mlete kangi na pisi kali.....Sema kuna yule manzi alicheza nae alikuwa kifaa kwelikweli
Kwa hiyo wewe unajua dini ya kila mmoja humu? Acha upuuzi wa kuingiza udiniUdini unakusumbua. Hivi huwa mnafunga unafiki tu? Ndo maana Netanyahu anawatwanga tu
Ni nani huyo?Umemsahau aliyekuwa rat ! ππππ