Kuna makundi yaliyovuma enzi hizo na leo hii imebaki story tu binafsi nakumbuka;
Wateule walikuwa na vichwa kama Jmoe, Prof. J & Solothang
Mabaga fresh hawa jamaa walikuwa walemavu wimbo wao maarufu tunataabika
Daz nundaz hawa walikuwa na ngoma kibao kali but nakumbuka nyimbo kama boss, mkiwa, hili jahaz la daz
Solid ground family jamaa na wimbo wao bush party
Wanaume family hawajama walitamba kinoma yaan chini ya Said Fela kabla hawaja palangana wakiwa na vichwa kama Juma nature, Mh.Temba, Chege chigunda, KR Mura, YP n.k
East cost family wakiwemo vichwa kama AY, MwanaFA, GK n.k wimbo wao tuna komaa nao
Wakali kwanza daah hawa jamaa walikua noma mana kulikua na vichwa kama Joseline, Qjay na Makamua nakumbuka ngoma yao natamani
Watu pori chini ya simba wa morogoro Afande sele alikuwa na Ditto
walikuwa na ngoma kali ile mbaya kawa watu pori