Hawa ndiyo wasanii waliovuma sana mwisho wakasanda

Hawa ndiyo wasanii waliovuma sana mwisho wakasanda

Kuna ile nyimbo moja ilivuma sana miaka ya 2002. Nakuhuitaji, mpenzi wangu nakuhitaji. Angwisa, kisanga wangungule, angwisa. Aliimba mwanadada na jamaa flani hivi, sijui saiv wapo wapi
Ni Cazi T x miss sarah- nakuhitaji

Wapo na maisha yao private hapo nchi jirani
 
Jackie marie- tulia
Soggy dogy- kibanda cha simu
Maru- ukweli ni kwamba mimi ni baba
Wachuja nafaka- ya leo kali, mzee wa busara
Mwana dada shaa-
Inspector haroun-
Vumi- tatizo umaskini
Jaffarie -niko bize
Maunda zorro- mapenzi ya wawili, nifanye niwe wako
 
Hata Tiffah naye akishatoa wimbo wake wa STAKI na babake ndiyo atapotea moja kwa moja
 
Huyo aliyeimba "Nakuhitaji" ni Sarah Kipingu, Mdogo wake Erasto Kipingu
 
Kuna makundi yaliyovuma enzi hizo na leo hii imebaki story tu binafsi nakumbuka;

Wateule walikuwa na vichwa kama Jmoe, Prof. J & Solothang

Mabaga fresh hawa jamaa walikuwa walemavu wimbo wao maarufu tunataabika

Daz nundaz hawa walikuwa na ngoma kibao kali but nakumbuka nyimbo kama boss, mkiwa, hili jahaz la daz

Solid ground family jamaa na wimbo wao bush party

Wanaume family hawajama walitamba kinoma yaan chini ya Said Fela kabla hawaja palangana wakiwa na vichwa kama Juma nature, Mh.Temba, Chege chigunda, KR Mura, YP n.k

East cost family wakiwemo vichwa kama AY, MwanaFA, GK n.k wimbo wao tuna komaa nao

Wakali kwanza daah hawa jamaa walikua noma mana kulikua na vichwa kama Joseline, Qjay na Makamua nakumbuka ngoma yao natamani

Watu pori chini ya simba wa morogoro Afande sele alikuwa na Ditto
walikuwa na ngoma kali ile mbaya kawa watu pori

Prof. J hajawahi kuwa wateule, wateule iliundwa na Moe, Mox,Jaffarie na Kevin.
Mkiwa sio wimbo wa Daz, ni wimbo wa dogo mmoja anaitwa K sal,sema alikuwa anamuiga Ferooz.
 
Back
Top Bottom