Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
yupo shinyanga anafanya biashara spea za magariVp Noorah kapotelea wap?due last time nliskia ana saratan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yupo shinyanga anafanya biashara spea za magariVp Noorah kapotelea wap?due last time nliskia ana saratan
solid ground family hii ndani ya bush pary, solid ground family hii ndani ya bush part say chereko cherekoooo , say nderemoo nderemoooo Viiifijo na mayowe mayowe... noma sana.Bush party waliua sana..melody na beat vilinogesha haswa
nako to nako si bado lipo hapo ametoka G nako na niki wapili..Natamani na sifai waliua sanaa hao wamba..ila umesahau kundi moja la hiphop.kutoka Arusha N2N...walifanya hiphop kuwa yenye kupendwa East Africa..full ujumbe + yale mabifu yao
Ni.kama imejifia ..wasanii kama dahustler na loard eyzs baada ya kutoka kundi lilipotea...nakumbuka nyimbo zaa kma na vile nawakilisha na mchizi wangu...waliipaisha sana Arusha kwey hiphopnako to nako si bado lipo hapo ametoka G nako na niki wapili..
Duu..saut ilikuwa inatoka yenyew bila ma filter..c kama siku izi msaniI akiimba hupati uhasilia ya saut ya mhusika mwenyewsolid ground family hii ndani ya bush pary, solid ground family hii ndani ya bush part say chereko cherekoooo , say nderemoo nderemoooo Viiifijo na mayowe mayowe... noma sana.
Jamaa wakapata mademu mitaa ya kibao..kumbe wale mademu nao wana mabwana kibao [emoji3][emoji3]Baabaaakee watu kibao
Ukienda town utakuta watu kibao
Ukipanda basi utakuta watu kibao
Kila kona baabake watu kibao
Muhogo mchungu anacheza na mbuzi..mbuzii [emoji3][emoji3]Bush party waliua sana..melody na beat vilinogesha haswa
hahaha anakuambia "Ndani kuna makuzi kuzi muhogo mchungu anacheza na mbuzi mbuzii..
Wagosi wa kayaKuna wale waloimba..
Wauguzi daktari na manesi wauguzi
Taratibu jamani hayaaa
Tutaonana wabaya hayaaa
Bila kumsahau mr ebo mzee wa mbadoooo