Jensen salamone
JF-Expert Member
- Sep 28, 2019
- 320
- 641
Ni Cazi T x miss sarah- nakuhitajiKuna ile nyimbo moja ilivuma sana miaka ya 2002. Nakuhuitaji, mpenzi wangu nakuhitaji. Angwisa, kisanga wangungule, angwisa. Aliimba mwanadada na jamaa flani hivi, sijui saiv wapo wapi
Cazi T ft miss sarahYule msanii aliyeimba wimbo "Nakuhitaji" anaitwaje?
Nakuhitaji mpenzi we nakuhitaji, unaniita?
Nakuhitaji mpenzi we nakuhitaji, unaniita?
Hapo kati kati anachanganya na kilugha kidogo, sijui kinyakyusa
Yupo wapi siku hizi?Huyo aliyeimba "Nakuhitaji" ni Sarah Kipingu, Mdogo wake Erasto Kipingu
Yupo wapi siku hizi?
Msalimie sanaYupo radio one na itv
Kuna makundi yaliyovuma enzi hizo na leo hii imebaki story tu binafsi nakumbuka;
Wateule walikuwa na vichwa kama Jmoe, Prof. J & Solothang
Mabaga fresh hawa jamaa walikuwa walemavu wimbo wao maarufu tunataabika
Daz nundaz hawa walikuwa na ngoma kibao kali but nakumbuka nyimbo kama boss, mkiwa, hili jahaz la daz
Solid ground family jamaa na wimbo wao bush party
Wanaume family hawajama walitamba kinoma yaan chini ya Said Fela kabla hawaja palangana wakiwa na vichwa kama Juma nature, Mh.Temba, Chege chigunda, KR Mura, YP n.k
East cost family wakiwemo vichwa kama AY, MwanaFA, GK n.k wimbo wao tuna komaa nao
Wakali kwanza daah hawa jamaa walikua noma mana kulikua na vichwa kama Joseline, Qjay na Makamua nakumbuka ngoma yao natamani
Watu pori chini ya simba wa morogoro Afande sele alikuwa na Ditto
walikuwa na ngoma kali ile mbaya kawa watu pori
Wameoana?Ni Cazi T x miss sarah- nakuhitaji
Wapo na maisha yao private hapo nchi jirani
Ongeza Solo thang, na Mackmalick aka Simba (rip) Wateule haoProf. J hajawahi kuwa wateule, wateule iliundwa na Moe, Mox,Jaffarie na Kevin.
Mkiwa sio wimbo wa Daz, ni wimbo wa dogo mmoja anaitwa K sal,sema alikuwa anamuiga Ferooz.
2015 ilibaki kidogo sana huyu jamaa aingie mjengoni DodomaKingwendu- hajatulia tulia huyu demu mapepe
Lini hiyo, enzi za Julietha na Nyambizi ?Daah nimekumbuka Enzi za Muziki unausikiliza hakuna matusi Wala mambo ya hivyo.
Walikuwa wanatumia Tafsida,na ilikuwa vigumu baadhi ya wengine kuelewa anamaanisha nini,sio kwa wakati huu nyimbo zipo uchi mpaka unaona Aibu kusikiliza.Lini hiyo, enzi za Julietha na Nyambizi ?
Rudia kusikiliza hizo nyimbo vizuriWalikuwa wanatumia Tafsida,na ilikuwa vigumu baadhi ya wengine kuelewa anamaanisha nini,sio kwa wakati huu nyimbo zipo uchi mpaka unaona Aibu kusikiliza.