Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Muzine

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2017
Posts
32,366
Reaction score
60,453
1.
image_search_1530891861242.jpg

Mshana Jr

2.
image_search_1530891833047.jpg

GuDume

3.
image_search_1530891824164.jpg

Mr Miller

4.
image_search_1530891813567.jpg

Hazard fc

5.
image_search_1530891606867.jpg

Humble African

Kwa hisani yangu kwa mara ya kwanza nimekutana na mahanshaamy kutoka Jf wengine loooh sura ngumu kama chochoro za Mwananyamala koma koma.


Demiss Malaikaa.
 
Yaani baada ya kuona jina langu kwenye list ya ma HB hapa nilipo natembea kifua mbele Kama nimepigwa ngumi ya mgongo vile na nimetanua mikono kama Nina majipu kwenye makwapa vile, Daamn! I feel so proud and confident mno. [emoji23] [emoji23]

Yaani huyo mshkaji anafanana na Mimi vibaya hadi dimples na light skinned. Mke wa mganga nae mganga tu sijui demiss kabla ya kupost hii alipiga nyanga kidogo then akatuona kwenye CCTV yake? Sijui?

But I'm humbled!
 
Yaani baada ya kuona jina langu kwenye list ya ma HB hapa nilipo natembea kifua mbele Kama nimepigwa ngumi ya mgongo vile. Nimetanua mikono kama Nina majipu kwenye makwapa vile, yaani I feel proud sana. Ahahaha!

Yaani huyo mshkaji anafanana na Mimi vibaya hadi dimples na light skinned. Mke wa mganga nae mganga tu sijui demiss kabla ya kupost hii kupiga nyanga kidogo then akatuona kwenye CCTV yake? Sijui?

But I'm humbled!
Eeenh
 
Back
Top Bottom